Imeanzia kwa nani?!What a finish!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeanzia kwa nani?!What a finish!!!!!
kwenye kikao si mlikubaliana kuwa hakuna mshabiki yeyote wa Simba kumsifia Mayele. Anatakiwa apondwe na kumsifu Kibu Denis tuNiliwaambia huyu jamaa ni extra ordinary, amefunga goli gumu mno.
Wewe Saido Humjui Bora Ukae Kimya Mzee...Huyu jamaa tangu abahatishe ile free kick moja basi ndo hadi leo utopolo bado wanaota [emoji28].
Sent using Jamii Forums mobile app
We unaemjua hongeraWewe Saido Humjui Bora Ukae Kimya Mzee...
Duh ndio tumefikia hatua ya mtu kutoa oda za chupa za mirinda nyeusi kwa soda wanazokunywa wenzao. Sawa mkuu nakuwekea chupa ukitoka kwenye mishe zako nitakuelekeza uje uchukue wapi hiyo chupaKunywa mirinda nyeusi hapo halafu usirudishe chupa.
No stress
Leo mpira nauskiliza ngoja baadae tuone hizo clips za highlightGoli offside
Nilicho kisema exactly kimetokea.Hii mechi inaweza kuisha huku ball possession ikiwa 80% kwa yanga na 20% kwa Dodoma Jiji.
Subiri Kipindi Cha Pili Nawe Umjue Vizuri..We unaemjua hongera
Pole sana angalia Azam wanalichumbua goli kwa replay. Aliyekuwa mbele ni mpiga cross na wayele hakuwa mbele zaidi ya mpira cross. Goli halali kabisaGoli offside
Inawezekana we ndo unaandika izo possession ndio mana alitambua mapema,Nilicho kisema exactly kimetokea.
Kama mnavyonijua mimi ni mwana yanga damu ila kwenye swala la taarifa za uhakika nakukubali mkuu, sina doubt katika hilo, leo sijaangalia mpira naskiliza audio tu mambo mengi naya missClear offside
Sema ukishaona goli limefungwa halafu wachambuzi wakaliundia tume kujadili kama la halali au la mchongo hua haileti tafsiri nzuri, mpaka hapo kunafanya hilo goli liwe na mashaka sanaPole sana angalia Azam wanalichumbua goli kwa replay. Aliyekuwa mbele ni mpiga cross na wayele hakuwa mbele zaidi ya mpira cross. Goli halali kabisa
Mbona number of passes hamna hiyo possession wameipata vipi? Azam tv janja janja tu hapo wamekadiria tu.