tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 84
Utopolo SC mnatakiwa kujipanga upya, na dalili zinaonesha mnatakiwa kusubiri sana ubingwa Tpl kwa kiwango mlichoonyesha Leo kwa timu dhaifu. Ya GEITA GOLD.
Msitumie nguvu nyingi kupitia viongozi wakuu wa mikoa na wilaya ambao ni mashabiki wa Yanga kutoa motisha kwa timu za mikoa hiyo ili zinapopambana na Simba mkaacha kuweka mikakati ya timu yenu mtafeli Sana.
Ubingwa msahau
Msitumie nguvu nyingi kupitia viongozi wakuu wa mikoa na wilaya ambao ni mashabiki wa Yanga kutoa motisha kwa timu za mikoa hiyo ili zinapopambana na Simba mkaacha kuweka mikakati ya timu yenu mtafeli Sana.
Ubingwa msahau