Yanga SC bado sana

Ndiyo upuuzi wa GSM,alianza kuwekeza kwenye vyombo vya habari kuipamba Yanga akafeli sasa amewekeza kwenye hujuma ili wachezaji wa Simba waumizwe akiamini itampa ubingwa. Huyu anachoweza ni kukwepa kulipa kodi tu.
Anachoweza GSM ni kumfunga kolo tu
 

Attachments

  • VID-20211004-WA0009.mp4
    7.4 MB
Kama mikia ilivoteswa na dodoma jiji Hadi kupewa kadi ndo mshinde.kalale kolokolo
Muda Ni mwalimu mzuri na muda una tabia ya kuadhibu bila huruma.

Utopolo wekeni akiba ya maneno, ndiyo KWANZA ligi imeanza.
 
Hivi zile story za UNBEATEN ziliishia wapi mwaka jana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndiyo upuuzi wa GSM,alianza kuwekeza kwenye vyombo vya habari kuipamba Yanga akafeli sasa amewekeza kwenye hujuma ili wachezaji wa Simba waumizwe akiamini itampa ubingwa. Huyu anachoweza ni kukwepa kulipa kodi tu.
Hivi wewe,unajua nguvu ya hamasa na Propaganda kwenye Jambo lolote? Pamoja na mambo mengine Taasisi au mtu yoyote akifanikiwa kuwekeza kwenye hamasa na Propaganda lazima afanikiwe.
 
Hivi wewe,unajua nguvu ya hamasa na Propaganda kwenye Jambo lolote? Pamoja na mambo mengine Taasisi au mtu yoyote akifanikiwa kuwekeza kwenye hamasa na Propaganda lazima afanikiwe.
Sasa mbona Utopolo haijafanikiwa? Pamoja na mbeleko tuliyowatupia kushiriki CAF CL wameishia kulifedhehesha Taifa kwa kupigwa nje ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…