Yanga SC imetufundisha Simba mahesabu Kila hatua kimataifa

Nimeishia hapo uliposema Yanga yupo Club Bingwa.
Kweli akili huna kabisa
 
Yaani university students wajifunze Kwa ma form one. Huo Ni uchawi.
 
Hivi aliyemnunulia Chura smartphone ni nani aisee achukue smartphone yake chap......, huyu anaonyesha ndo mwenye akili zaidi pale Utopoloni mpaka akajua Yanga inacheza CAF CHAMPIONS LEAGUE sio Losses Cup......., Hata kama tunajua Hamna Utopolo mweye akili bhas jaribuni kuficha umbumbunbu wenu[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Mada inapaswa iishie hapa maana mleta uzi alikuwa anaandika akidhani Yanga imeshiriki Ligi ya Mabingwa wa Afrika, lakini ukweli ni kwamba Yanga ilitolewa hatua za mapema katika Ligi ya Mabingwa wa Afrika, na michuano inayoshiriki ni mingine kabisa, wala sio ya Mabingwa wa Afrika
 
Msimalize maneno, "Hizi timu Zina Homa Za vipindi" kama mnavyojua wawekezeji wa mpira Bongo siyo wa kuaminika.
In loosers group voice...

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwenye ligi ya mabingwa😄😄😄😄Sijaelewa
 
Mbu Mbu mbu....mmeumaliza mwendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…