Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Mi nlidhani mtapewa hata 60% jamani kinyesi fcYanga wamepewa 14% kuchukua ubingwa pale mjini CAF.......
Makolo 3%[emoji23][emoji23]View attachment 2577611
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nlidhani mtapewa hata 60% jamani kinyesi fcYanga wamepewa 14% kuchukua ubingwa pale mjini CAF.......
Makolo 3%[emoji23][emoji23]View attachment 2577611
We Utopolo rekebisha kwanz Yanga yuko shirikisho sio klabu bingwa. Halafu nashangaa sana. Kila kinachofanywa na Yanga leo Simba wameshakifanya. Kama kushinda home na away Simba waliwafunga as Vita wakiwa na Mayele djuma ndani. Kama kuongoza group Simba wameshafanya Ila hizi kelele [emoji23][emoji23].YANGA SC IMETUFUNDISHA MAHESABU KILA HATUA KIMATAIFA.
Klabu ya Yanga wametengeneza mahesabu makubwa sana kwenye mashindano ya Kombe la Mabingwa Afrika kwa kumaliza kinara wa kundi lake akiwa na alama 13.
Jambo hilo ni historia kwao na kwa Taifa kwa ujumla licha ya kwamba Simba aliwahi kuongoza Kundi Ligi ya Mabingwa Afrika mbele ya Al Ahly.
Kwenye mahesabu wamepata faida mbili kubwa, Yanga wamepata faida ya kwanza ni kutokutana na waliomaliza nafasi ya kwanza katika makundi ikiwa watamaliza hivyo.
Faida ya pili ni kuanzia ugenini na kumalizia nyumbani mchezo wa robo fainali. Sio kila klabu imeweza msimu huu.
Yanga imechukua alama 6 muhimu kwa TP Mazembe na kuwa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kupata ushindi kwenye dimba la TP Mazembe. Yanga wameonesha kuwa wao ni bora sana popote wana shinda.
Yanga inatengeneza bond kubwa na CAF kwa kasi mno. Jitihada za GSM, wanachama mpaka mashabiki wameamua kuwa pamoja kutafuta mafanikio zaidi kimataifa, wachezaji wanajituma sana dimbani.
TP Mazembe walifanya kila kitu lakini Young Africans walifanya kila kitu kwa usahihi! approach nzuri imewapa matokeo. Yanga wamefanya vizuri sana kwenye hatua ya Makundi, hii ni kutokana na ubora wa kikosi chao.
NB: Maendeleo hayana Chama ...sisi wanasimba tujifunze kitu
View attachment 2577610
Lini mlishinda Kwa mwarabuWe Utopolo rekebisha kwanz Yanga yuko shirikisho sio klabu bingwa. Halafu nashangaa sana. Kila kinachofanywa na Yanga leo Simba wameshakifanya. Kama kushinda home na away Simba waliwafunga as Vita wakiwa na Mayele djuma ndani. Kama kuongoza group Simba wameshafanya Ila hizi kelele [emoji23][emoji23].
Shirikisho la Azam labda 😅😅😅😅Yanga anabeba kombe la shirikisho
Mliloga hadharani kule South Africa kwenye kombe hilo hiloKujadili nyuzi za ma looser ni kupoteza muda. Watu wako busy na kutaka kujua nani atakutana na nani klabu bingwa nyie mnakuja na nyuzi za kombe la ma looser. Tumechoka mtupumzishe
Hapa Tz kwenye NBC Premier league Yanga yuko juu akimuacha Simba kwa 8 points. Kama Yanga ni bora kwa loosers, huyu Simba aliyeachwa point 8 ni mbovu sana kumbe kwa sababu aliye juu ni mbovu.Simba yupo group la champions cup lenye wababe wa africa..., yanga yupo shirikisho cup lenye loosers wa champions cup waweza sema yanga ni bora kwa loosers
Ligi kuu yenyewe hamchukui bila bahashaYote mkuu ....hata la Azam.
Caf champions league sio sawa na Caf confederation cup hivi utopolo huwa akili zinaruka au.Yanga wamepewa 14% kuchukua ubingwa pale mjini CAF.......
Makolo 3%[emoji23][emoji23]View attachment 2577611