Yanga sc inakikosi kipana lakini pengo la Khalid Aucho "the tank" limeonekana bila kificho

Yanga sc inakikosi kipana lakini pengo la Khalid Aucho "the tank" limeonekana bila kificho

Na bado...!

Mtaongea Mengi sana..!

Mkubali tu mwaka huu mlipata timu mdebwedo.!
Timu pekee iliyokuwa njema ilikuwa ni Al hilal na iliwafurusha CAF CL.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiii
 
Na bado profesa nabi maji marefu baada ya mechi alikuwa analalamika muda wa maandalizi ulikuwa hautoshi sasa hicho kikosi chenu kipana kimetanuka wapi nyumaaa au mbelee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa pale walikua wanacheza wachezaji au uchawi Hadi kibu anafunga mbona kimataifa alikua anarukaruka tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaaaaa.
Sasa nawee tumia uchawi huko.
 
Bangala wa msimu uliopita na huu ni watu wawili tofauti,sijui morison ashaanza kumpeleka kimboka??
 
Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.

Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1

Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania. Kwa miaka MITATU inacheza na VILABU VIKUBWA kama.

ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.

Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao

YANGA inacheza na timu ndogo haijapata vipimo VIKUBWA sahihi.

Zalan, marumo, nk hizi nitimu ndogo mno
 
Pia mechi ikizidi wanasiasa na viongozi wa juu Huwa inaharibika,mara mabango uwanjani,mara sijui wabunge nani asiyejua kwamba bunge letu Lina mkosi..? Ifikie hatua mpira ujitenge na siasa.
 
Pia mechi ikizidi wanasiasa na viongozi wa juu Huwa inaharibika,mara mabango uwanjani,mara sijui wabunge nani asiyejua kwamba bunge letu Lina mkosi..? Ifikie hatua mpira ujitenge na siasa.
[emoji123]
 
Back
Top Bottom