MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwa Mkakati ulioko Simba SC anaweza akasababisha Maafa Yanga SC kwa Kuukosa Ubingwa waliodhania ni Wao.
Mwambieni Mayele amlipe Mganga wake.
Mwambieni Mayele amlipe Mganga wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko huko majarubani pia kuna mechi mbeya kwanza vs SimbaIle mechi yao na Mbeya city kule majarubani waitathini sana, vinginevyo mambo yatakuwa sio mambo.
Sasa mbeya kwanza unailinganisha na Mbeya City?Huko huko majarubani pia kuna mechi mbeya kwanza vs Simba
Tunasikia mavunde anahangaika kununua mechi ili Uto washinde. Maana hali siyo hali.Ile mechi yao na Mbeya city kule majarubani waitathini sana, vinginevyo mambo yatakuwa sio mambo.
Kumbukumbu zako zinaonesha ulimchapa magoli mangapi huyo Mbeya kwanza taifa? Mechi ambayo mnategemea kuwa ngumu kwa Yanga ndio Yanga anashinda. Kwani ndio leo mmeanza kutaja mechi za Yanga kupoteza?Sasa mbeya kwanza unailinganisha na Mbeya City?
Hakuna kitu kama hicho, Yanga bingwa msimu huu hata kwa kumzidi Simba pointi moja.Kwa Mkakati ulioko Simba SC anaweza akasababisha Maafa Yanga SC kwa Kuukosa Ubingwa waliodhania ni Wao.
Mwambieni Mayele amlipe Mganga wake.
Kwani lazima kila game washinde? au unafikiri hizi timu nyingine hazihitaji ushindi? Kama uliangalia game ya juzi dhidi ya Prison usingeandika utopolo wako hapa, unafahamu kuwa Mayele alipata nafasi zaidi ya moja ila bahati ndiyo haikuwa upande wake?Utopolo wamepoteana. Watu wakimkaba mayele timu haishindi. Timu la kifala sana