Yanga SC kushtakiwa ilipe milioni 200. Ki Aziz aharibu bajeti

Yanga SC kushtakiwa ilipe milioni 200. Ki Aziz aharibu bajeti

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Mkiambiwa balance ya mahesabu imeharibika kwa sifa za kijinga za ki aziz hamuamini, ufunguo huo peke yake umesababisha hata kambi inaenda kukwekwa karatu siyo uturuki tena

Kwa msiojua ni kwamba Gharib kasema hatoi zaidi ya 500 millions watu wamechafua madafatari vibaya sana, haya sasa millions 200 hiyoo inaondoka kimasihara, kalipeeniii

*Nasubiri kwa hamu pale masharti ya ufunguo ya kukataa kukaa avic town yaani awe anatokea nyumbani kwake msimu mzima na lile la Yacouba lazima abaki yatekelezwe nione raha ya watu kususiana uwanjani



KAMBI 1.JPG
 
Kumekuchaaaaaaa!!!!!
hivi unadhani hilo la jamaa kukataa kuishi kambini ni utani? subiri ligi ianze wamemkuzaa mnoo acha awapande kichwani..kambi inaenda karatu sasa hasara ya usd 87,000 kizeembe kabisa
 
hivi unadhani hilo la jamaa kukataa kuishi kambini ni utani? subiri ligi ianze wamemkuzaa mnoo acha awapande kichwani..kambi inaenda karatu sasa hasara ya usd 87,000 kizeembe kabisa
Afu nasikia rafiki na mwenyeji wake yaokuba anaenda GEITA FC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee tupu.
 
jemedari katika harakati zake za kuiponda Yanga... anyways yatapita tu
 
Back
Top Bottom