Yanga SC kushuka daraja mwakani!


Rudi tena ukajifunze masuala ya mpira na ukiona umekomaa / umeiva rudi tena hapa tafadhali. Uelewa wako wa masuala ya mipira ni mdogo sana halafu ni kama vile naona unanipotezea muda wangu Kukufundisha kila mara.
 
Rudi tena ukajifunze masuala ya mpira na ukiona umekomaa / umeiva rudi tena hapa tafadhali. Uelewa wako wa masuala ya mipira ni mdogo sana halafu ni kama vile naona unanipotezea muda wangu Kukufundisha kila mara.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ikitokea hicho kikosi ndio first 11 ya simba msim ujao basi, Kichuya akatafute namba kwingine bongo hakunaga "SUPER SUB"
 
adui yako mwombee njaa....yanga mpigieni magoti mzee Mengi aje kuwaokoa....

Huijui Yanga wewe, sio wa kutishwa na Wachezaji.
Marehemu Dito akiwa RC Dar es salsa. aliwahi kutuasa Yanga kuwa heri kula ugali kwako kuliko pilau ya makombo.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
hahahaaaa jamani mtu unasoma kilichoandikwa mpaka unasema kweli kesho ni siri...
 
Mkuu 2022 hii vipi 2019 Yanga walishuka daraja
 
Mwamba kumbe huwa unasemaga uwongo kwa kiasi hiki..!!
 
Mengi Hana ufisadi?? Huwa hakwepi Kodi kweli?? Mnataka kumtia matatani mzee wa watu!

Simba tutatumia njia zote za kimafia kuhakikisha hi yanga inakufa in natural death au ishuke daraja kabsa!
Naona yanga ilishakufa Iko ligi daraja la Tano saizi
 
Hayo tutafanya mwakani, mission ya mwaka huu NI kuiua yanga kabsa, ikiwezeka tuinunue hiyo alafu tuishushe daraja kabsa, shenzy, huu NI umafiaaa!
Utakufa wew yanga itabaki.

Huna unsloweza kuifanya yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…