Yanga sc kutinga robo fainali imekuwa nongwa

Yanga sc kutinga robo fainali imekuwa nongwa

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Baada ya ushindi wa kishindo walioupata mabingwa watetezi wa ligi ya Tanzania bara The almighty Yanga afrika dhidi ya mabepari CR Belouizdad kumeibuka hali ya kuweweseka kwa baadhi ya wachambuzi wanazi wa Mbumbumbu efusii hali inayoonekana kuwa vivyo hivyo mpaka kwa mashabiki na msemaji wa Mbumbumbu efusii.

Kutokana na ushindi wa Yanga, zimeanza kuibuliwa rank za mchongo za CAF, mara zinaibuka hoja Simba sc ndio timu kubwa pekee Afrika, zinaletwa historia za mwaka 1977 kwamba mbumbumbu efusii waliwahi kufika nusu fainali cafcl, wanahitisha press conferences nakusema mo dewji ndie aliesababisha mafanikio ya Yanga, wanatajwa horoya walivofungwa goli saba.

Yaani yote haya kisa Yanga afrika katinga robo fainali aisee, nashindwa hata kushangaa kwa kiwango hichi cha utahira kinachoonyeshwa na wanazi wa Mbumbumbu efusii.

Yaani mashabiki wa Yanga sc hawatakiwi kushangilia matokeo na mafanikio ya timu yao sababu mbumbumbu efusii alishawahi kufanya?. Tukisema hii timu ni kituko cha taifa wanatukana.

Screenshot_20240226_173923.jpg
Screenshot_20240226_173853.jpg
Screenshot_20240226_173822.jpg
Screenshot_20240226_173757_com.instagram.android_edit_123008383568730.jpg
 
Baada ya ushindi wa kishindo walioupata mabingwa watetezi wa ligi ya Tz bara The almighty Yanga afrika dhidi ya mabepari CR Belouizdad kumeibuka hali ya kuweweseka kwa baadhi ya wachambuzi wanazi wa Mbumbumbu efusii hali inayoonekana kuwa vivyo hivyo mpaka kwa mashabiki na msemaji wa Mbumbumbu efusii.

Kutokana na ushindi wa Yanga, zimeanza kuibuliwa rank za mchongo za CAF, mara zinaibuka hoja Simba sc ndio timu kubwa pekee Afrika, zinaletwa historia za mwaka 1977 kwamba mbumbumbu efusii waliwahi kufika nusu fainali cafcl, wanahitisha press conferences nakusema mo dewji ndie aliesababisha mafanikio ya Yanga, wanatajwa horoya walivofungwa goli saba.

Yaani yote haya kisa Yanga afrika katinga robo fainali aisee, nashindwa hata kushangaa kwa kiwango hichi cha utahira kinachoonyeshwa na wanazi wa Mbumbumbu efusii.
Yaani mashabiki wa Yanga sc hawatakiwi kushangilia matokeo na mafanikio ya timu yao sababu mbumbumbu efusii alishawahi kufanya?. Tukisema hii timu ni kituko cha taifa wanatukana.
Wee achana nao mkuu waishi kwenye zilipendwa maana If you live in the past the future will never find you.
 
Mimi naomba niuzungumzie hiyo ranking uliyoambatanishs.
Ukiangalia mpaka sasa Simba ina point 39 huku Yanga ikiwa na point 31 kama ni watu wa kustuka basi walipaswa kuona kuwa hii ni wake up call kwenu Simba kwasababu gap ya point ilikuwa kubwa sana yaani kutoka 0.5 hadi 31 kwa misimu miwili tu mfululizo. Kama Simba ikiachwa hatua moja tu na Yanga inamaana gap ya point 5 zitapungua. Na kama Simba akiachwa hatua mbili ina maana Yanga atajipatia point 10 ambazo ukitoa 8 za Simba inamaana Yanga itakuwa juu ya Simba kwa pont 2. Mna kazi ya kufanya ili kujitetea kwenye hiko kichaka cha ranking kwasababu soon nacho kinaenda kufyekwa. Mkizubaa basi msimu huu huu kinafyekwa kama kilivyofyekwa kichaka cha robo fainali ya CAFCL

N B point 39 ni mpaka afuzu robo fainali
 
Mimi naomba niuzungumzie hiyo ranking uliyoambatanishs.
Ukiangalia mpaka sasa Simba ina point 39 huku Yanga ikiwa na point 31 kama ni watu wa kustuka basi walipaswa kuona kuwa hii ni wake up call kwenu Simba kwasababu gap ya point ilikuwa kubwa sana yaani kutoka 0.5 hadi 31 kwa misimu miwili tu mfululizo. Kama Simba ikiachwa hatua moja tu na Yanga inamaana gap ya point 5 zitapungua. Na kama Simba akiachwa hatua mbili ina maana Yanga atajipatia point 10 ambazo ukitoa 8 za Simba inamaana Yanga itakuwa juu ya Simba kwa pont 2. Mna kazi ya kufanya ili kujitetea kwenye hiko kichaka cha ranking kwasababu soon nacho kinaenda kufyekwa. Mkizubaa basi msimu huu huu kinafyekwa kama kilivyofyekwa kichaka cha robo fainali ya CAFCL
Kweli kabisa
Wao wanahisi hiyo gap itabaki hivyo kila siku

Walitakiwa kushtuka mapema kutoka 0.5 mpaka 31 kwa misimu miwili ni spidi kubwa
 
Maneno yao ndiyo yanaifanya Yanga inafanya vizuri.

Sasa ikatokea Yanga akaingia nusu fainali wao wakashindwa sijui watakuja kuongea kitu gani.
Kuingia nusu fainali labda mpangwe na Tp mazembe vinginevyo mtaitwa mwaka robo afadhali sisi tulitolewa mapema shirikisho
 
Back
Top Bottom