mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
- Thread starter
- #21
Yanga ya sasa inauwezo wakumpua yeyoteKuingia nusu fainali labda mpangwe na Tp mazembe vinginevyo mtaitwa mwaka robo afadhali sisi tulitolewa mapema shirikisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga ya sasa inauwezo wakumpua yeyoteKuingia nusu fainali labda mpangwe na Tp mazembe vinginevyo mtaitwa mwaka robo afadhali sisi tulitolewa mapema shirikisho
Sawa mkuuYanga ya sasa inauwezo wakumpua yeyote
Wakati Simba inakuwa Giant mlisaga nini?.Wakiishia makundi na Yanga akafika nusu fainali au fainali,basi watalia na kusaga meno
Ikifika fainali point za Yanga zitasoma 41Wakiishia makundi na Yanga akafika nusu fainali au fainali,basi watalia na kusaga meno
Tulia dawa iingie mama kubwaWakati Simba inakuwa Giant mlisaga nini?.
ChupaWakati Simba inakuwa Giant mlisaga nini?.
😁😁😁😁Chupa
aiseee!Kisu kimegonga mfupa...
Huyu ndio Ahmed Ally.....
Semaji La CAF......................
Utopolo Wanafanya kolabo kumjibu hoja zake......!