Yanga SC limalizeni hili haraka Mchezaji wenu ampa Mwanamke Mimba hataki kuilea


Mbona umejibu kama Godfrey Mwashiuya mwenyewe Mkuu?
 
Hiii taarifa imebeba masikitiko sana lkn huyo dogo Mwashiuya kwa tukio hili amesababisha KIFO aende akatubu mapemaaa laaana isije muandama
 
Kumbe na wewe siku hizi ni Shilawadu ?
 
Mtoa mada zamani nilikuwa nakuona mtu wa maana sana lkn siku zinavyo enda nakuona utakua kuokota makopo kabisa
 
Wewe utakuwa Amis Tambwe Bila shaka
 
shilawadu rep.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…