Yanga SC mlipeni yule Mganga wenu wa kutumia Njiwa Uwanjani halafu mwambieni Mayele kwa yanayompata amlaumu Dada wa Saluni Magomeni Mapipa

Yanga SC mlipeni yule Mganga wenu wa kutumia Njiwa Uwanjani halafu mwambieni Mayele kwa yanayompata amlaumu Dada wa Saluni Magomeni Mapipa

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Na huyo Demu wake wa hapo ndiyo aliyepandikizwa Kummaliza na Klabu moja waliyocheza nayo na akakabwa vilivyo na Mkongo Mwenzake.

Halafu Yanga SC hakikisheni yule Dogo ( Mganga wenu ) ambaye huwa anaingia na Njiwa Mweupe kila mliposhinda Mechi zenu mnamlipa Pesa zake kwani Password ya Ushindi wenu anayo Yeye na alianza Kuwakacha ( Kuwasusa ) tokea mcheze na Timu iliyomkaba mno Mayele.

Nimemaliza.
 
Yaani hata mimi nacoment basi tu.....! Maana uzi wenyewe ni wa kipopoma!
 
Na huyo Demu wake wa hapo ndiyo aliyepandikizwa Kummaliza na Klabu moja waliyocheza nayo na akakabwa vilivyo na Mkongo Mwenzake.

Halafu Yanga SC hakikisheni yule Dogo ( Mganga wenu ) ambaye huwa anaingia na Njiwa Mweupe kila mliposhinda Mechi zenu mnamlipa Pesa zake kwani Password ya Ushindi wenu anayo Yeye na alianza Kuwakacha ( Kuwasusa ) tokea mcheze na Timu iliyomkaba mno Mayele.

Nimemaliza.
Acha uongo wewe
 
Back
Top Bottom