Yanga SC msingewafunga Singida United Leo.. Dunia Ingesimama.

Hahahaha ushahidi ni vema ukamilike....vinginevyo wewe ndiye unaweza kushughulikiwa kwa kusema uongo---soma vizuri Penal code...tehtehtehteh
Hahaha.. Ndo mana nikasema J4 tukutane ofisini.
 
Yanga mnachonga hadi mnakera, anyway sio mbaya tukutane 30/9
Bora hata wangekua wanachonga huku timu yao ikiwa vyema.. Sasa wanachonga timu yenyewe tia maji tia maji.. Ushindi mpaka miamala ifanye kazi.
Tarehe 30/09 tunaenda kukata hivi vidomo domo
 
Wewe sembo kiazi sana, tumewapiga wangapi?
 
watu kama Mwigulu ndio wanarudisha nyuma mpira wetu
Na hao singida watashuka tu daraja msimu huu
 
Acha kulia lia wewe jamaa, hata Simba tuta wafunga. Usiaze kusema sisi na Simba ni ndugu.
Naomba ni kukane mapema kabisa, sisi na Simba sio ndugu wala sio rafiki [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Msimu ujao kipindi Simba SC akipambana na hao mabingwa wenzake.. Ninyi mtakua jamuhuri stadium mkipambana na Moro kids kuwania kombe la FA
Hii ni zamu tu, miaka 5 hamja fanya hivi
 
Mwanaume kulia lia hivi haipendezi kabisa other wise wewe Ke
Wewe jama una wivu wa kike sana, khaaaa
Acha kulia lia wewe jamaa, hata Simba tuta wafunga. Usiaze kusema sisi na Simba ni ndugu.
Naomba ni kukane mapema kabisa, sisi na Simba sio ndugu wala sio rafiki [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu mbona umepaniki.. Kwani uongo? Jana bila nguvu ya muamala, mlikua mnachezea.
 
GOLI LIKIWA TAMU NI LAZIMA UJISAHAU KIDOGO Kwa kusherehekea utamu huo na baada ya hapo ndipo mtu hujistukia
 
1) je kutokuripoti kwa Shafiq Batambuze tokea msimu uanze imei favour Yanga peke yake au timu zote zilizokutana na Singida kabla ya mechi na Yanga? au mechi ya Yanga vs Singida ndio ilikuwa mechi ya kwanza kwa singida?

2) kwahiyo mkuu tutegemee kuwaona makocha pamoja na kipa wakirejea kuitumikia Singida united baada mechi ya Yanga kumalizika? Au ndio timu zingine nazo zitacheza na Singida iliyokuwa na upungufu wa hao watu?

3)kutokana na kauli yako ya undugu wa Singida na Yanga je msimu uliyopita Yanga aliamua kutomfunga kwa makusudi Singida kwenye mechi zao zote walizokutana? Hivyo hata kwenye mechi ya shirikikisho Yanga aliamua kutolewa na Singida kutokana na undugu?
 

We subiri dozi yako tar 30 harafu umfukuze kidevu
 
Bora hata wangekua wanachonga huku timu yao ikiwa vyema.. Sasa wanachonga timu yenyewe tia maji tia maji.. Ushindi mpaka miamala ifanye kazi.
Tarehe 30/09 tunaenda kukata hivi vidomo domo
Tar 30/09 ukipakatwa utasema miamala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…