Yanga SC 'mtatukoma' Simba SC, kwani huyu tunayeenda 'Kumsajili' sasa Mukoko Tonombe wenu 'anasubiri' sana

Yanga SC 'mtatukoma' Simba SC, kwani huyu tunayeenda 'Kumsajili' sasa Mukoko Tonombe wenu 'anasubiri' sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kiingereza

Tanzania's Giant Club and VPL Champions Simba SC have lined up Kaiser Chiefs and Kenyan international midfielder Anthony Teddy Akumu as the perfect replacement of Brazilian Gérson Fraga Vieira who was ruled out of the season after sustaining an injury.

The Tanzania champions are currently in contact with Amakosi to sign the former Zesco United man in the January transfer window.

Kiswahili
Klabu Kubwa Tanzania na Bingwa wa Ligi Kuu Simba SC iko mbioni Kumsajili Mkabaji na wa Kimataifa Raia wa Kenya anayecheza katika Klabu Kubwa nchini Afrika Kusini ya Kaizer Chiefs kama mbadala sahihi wa Kiungo wa Brazil anayeenda Kuachwa kutokana na kuwa na Majeruhi Gerson Fraga.

Mabingwa hao wa Tanzania (yaani Simba SC) sasa wako katika Mazungumzo na Amakhosi (Kaizer Chiefs) ili Kumsajili Mchezaji huyo wa zamani wa Zesco United katika Kipindi cha Usajili cha dirisha dogo Mwezi January.

Chanzo: African Sports Today

Kama kuna Usajili ambao GENTAMYCINE nitaufurahia Simba SC wakiukamilisha basi ni wa huyu 'Kiungo' kwani anajua hadi anakera katika Kiungo.
 
Kiingereza

Tanzania's Giant Club and VPL Champions Simba SC have lined up Kaiser Chiefs and Kenyan international midfielder Anthony Teddy Akumu as the perfect replacement of Brazilian Gérson Fraga Vieira who was ruled out of the season after sustaining an injury.

The Tanzania champions are currently in contact with Amakosi to sign the former Zesco United man in the January transfer window.


Kizanaki

Klabu Kubwa Tanzania na Bingwa wa Ligi Kuu Simba SC iko mbioni Kumsajili Mkabaji na wa Kimataifa Raia wa Kenya anayecheza katika Klabu Kubwa nchini Afrika Kusini ya Kaizer Chiefs kama mbadala sahihi wa Kiungo wa Brazil anayeenda Kuachwa kutokana na kuwa na Majeruhi Gerson Fraga.

Mabingwa hao wa Tanzania ( yaani Simba SC ) sasa wako katika Mazungumzo na Amakhosi ( Kaizer Chiefs ) ili Kumsajili Mchezaji huyo wa zamani wa Zesco United katika Kipindi cha Usajili cha dirisha dogo Mwezi January.

Chanzo: African Sports Today

Kama kuna Usajili ambao GENTAMYCINE nitaufurahia Simba SC wakiukamilisha basi ni wa huyu 'Kiungo' kwani anajua hadi anakera katika Kiungo.
Pole sana hii ndio taarifa kamili kupitia source ya goal.com
Screenshot_2020-11-19-08-14-57-177_org.mozilla.firefox.jpg
Screenshot_2020-11-19-08-15-31-644_org.mozilla.firefox.jpg
 
Hamna scout nyinyi?
Hivi na nyie Ajibu na Yondani mliwafanyiaga scouting ushabiki wa simba na yanga ni kichefuchefu..Lamine Moro Simba iliwafanyia scouting mbona mlibeba na yula Ukhbor straika walifanya majaribio Simba wote
 
Hivi na nyie Ajibu na Yondani mliwafanyiaga scouting ushabiki wa simba na yanga ni kichefuchefu..Lamine Moro Simba iliwafanyia scouting mbona mlibeba na yula Ukhbor straika walifanya majaribio Simba wote
Jamaa utakuwa hujui vizuri mpira...Simba wanaingilia deal na sio kuscout...Moro alikuja Simba trial ila Yanga walivutiwa baada ya kuwa beki bora Zambia..Sasa nyie Chama aliletwa Yanga na Lwandamina mkabeba,Mmakonde,Morrisson,Bwalya.Bocco,Nyoni,Dilunga,Kakolanya,Gadiel,Wawa,Ilamfya,Duchu,Huyu beki mpemba kutoka Coastal nk Nasikia juzi mlimfuata Saido Burundi mnafail wapi mikia
 
Jamaa utakuwa hujui vizuri mpira...Simba wanaingilia deal na sio kuscout...Moro alikuja Simba trial ila Yanga walivutiwa baada ya kuwa beki bora Zambia..Sasa nyie Chama aliletwa Yanga na Lwandamina mkabeba,Mmakonde,Morrisson,Bwalya.Bocco,Nyoni,Dilunga,Kakolanya,Gadiel,Wawa,Ilamfya,Duchu,Huyu beki mpemba kutoka Coastal nk Nasikia juzi mlimfuata Saido Burundi mnafail wapi mikia
Ajibu na Yondani mliwafanyia scout haa eti Moro alikuwa beki bora Zambia mkavutiwa nae na Ukhbor na Yikpe mlimfanyia pia hata Sibomana mkawa na timu hatari Morrison kama mlifanya scouting msingempa mkataba wa meizi sita halafu Yikpe mkampa mkataba wa mwaka ...
 
Back
Top Bottom