Yanga SC mtumieni Tuisila Kisinda kama kitega uchumi wenu kwa kumruhusu acheze ndondo za mitaani

Yanga SC mtumieni Tuisila Kisinda kama kitega uchumi wenu kwa kumruhusu acheze ndondo za mitaani

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Binafsi nina Timu yangu ya Mtaa inataka kushiriki Ndondo ila sina Winga Teleza Mmoja tu hivyo nawaonba Yanga SC mnikodishe Tuisila Kisinda aichezee Timu yangu na kila Mechi nitamlipa Shilingi Elfu Tatu na Mia Tano ( Tsh 3,500/= ) tu.

Nitaishukuru wana Yanga SC wote mliopo hapa Jamiiforums mkiniruhusu MINOCYCLINE nimtumie katika Ndondo na hata kama kutakuwa hakuna Mechi bado pia nitamtumia kunikimbizia Kuku wangu ambao huwa Wanatoroka mno Bandani na Mimi sina Mbio kama za TK Master kuweza Kuwakamata.
 
Back
Top Bottom