Yanga SC nawapenda sana, naomba pangeni Kikosi hiki Novemba 5, 2023 ili Simba SC afe mapema tu sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Abdultwalib Mshery
2. Kibwana Shomary
3. Nickson Kibabage
4. Gift Fred
5. Bakari Mwanyeto Magwaya
6. Jonas Mkude
7. Jesus Moloko
8. Zawadi Mauya
9. Hafidh Konkoni
10. Crispin Ngushi
11. Denis Nkane

Mkipanga Kikosi kinyume na hiki ambacho GENTAMYCINE (mwana Yanga SC lia lia Mwenzenu) nimekitaja hapa mkipigwa (mkifungwa) Goli 7 au 8 na Timu inayojua hadi inakera ya Simba SC msije mkanilaumu sawa?
 
KIKOSI CHA PILI HICHO HAWAWEZI KUKIPANGA
 
Uko sahihi na kule Shimbwa Ili tushuhudie Pira Objektivu lenya magoli ya kumwaga...

Golini aanze Ayoubuuuu Lakrane...na wowote watakaopangwa ulinzi usimamiwe na Keneddy Juma

Kule mbele Bocco aongoze mashambulizi hao tu inatosha

Hapa goli 5 na zaidi zitapatikana[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Product za SAUT hizi

Stupid nonsense
 
laiti GENTAMYCINE angejua kuwa wewe ni mnafiki sana kwake na asidhani kuwa unampenda asingekuwa anakuona ni rafiki yake mkubwa hapa jamiiforums
Usijali nimemsoma tayari katika Rada yangu na kwa sasa namsubiria ajae vizuri katika 18 zangu ili nikipiga Bomu langu Kwake basi siku hiyo hiyo. Mimi na Yeye Urafiki wetu unaisha.

Ni mnafiki mnafiki hivi nimeshamsoma na nadhani hajanijua vizuri.
 
Huju jamaa CAPO DELGADO anashida mahali au ugomvi binafsi na mleta mada.
Ni Greatest Of All Time niliyemshinda katika Shindano la Mwanachama Bora wa Jukwaa la Michezo (Sports) hapa JamiiForums kwa Msimu wa 2022/2023

Kuna Watu hapa JamiiForums wanadhani Mimi Mkongwe GENTAMYCINE since 2013 ni Wapumbavu kama Wao wakati Kwangu huwa ni rahisi mno Kuwajua/Kuwabaini.
 
Kijana acha uswahili kaanzishe uzi wako acha ukorofi mswahili wewe
Ni Greatest Of All Time huyo niliyemshinda katika Shindano la Mwanachama Bora wa Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa Msimu wa 2022/2923 hivyo anaogops Kuitumia hiyo ID yake kwakuwa anajua Nitamcheka hivyo kaamua kuitumia hi ya CAPO DELGADO katika Kupambana nami kama sehemu yake ya Kumalizia Hasira zake Kwangu za kwanini nilishinda Mimi GENTAMYCINE na kupewa Zawadi ya Fedhae na si Yeye?

Hana Akili.
 

Aisee unamsingizia tu jamaa yangu
Greatest Of All Time

Mbona tunapishana sana hata aina ya chambuzi zetu hapa jukwaani.

Hata uandishi na uwasilishaji wa Hoja.........


Utakwenda kuingia kwenye shindano na mimi CAPO DELGADO Jipange sawasawa
 
ANAANDIKA TUKANA UONE.

"Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake"

TUKANA UONE
 
Huju jamaa CAPO DELGADO anashida mahali au ugomvi binafsi na mleta mada.

Uwe unaandika vizuri kwanza unajifanyia uhariri binafsi kwenye uandishi wako kabla hujapost.

(Najua lengo lako ni ku Provoke ufarahi kuona ID inatukanwa.
Id FAKE YA @CAPODELGADO haiogopi matusi, vitisho mbwembwe nk.


Ninampenda rafiki yangu TUKANA UONE ANASEMA.

Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako Mtu mfupi ,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake

"TUKANA UONE"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…