kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Mkuu msamehe tu, maana sio akili yake, inaonekana ni mbege zinampeleka vibaya 😂😂Unajifanya mtu mwenye busara zake kama unavyohubiri sasa , nataka nikuuulize mtu mwenye busara zake na mchamungu anaweza kupost utumbo kama huu na kuhifadhi katika simu yake ?
Kula chuma hiyo chini 👇👇 mimi sina hadithi mbili wala sielewi maandiko yako zaidi ya kushusha vyuma tu..View attachment 2799946
View attachment 2799947
NB : Kuna chuma nyingine very destructive ninahifadhi kwa matumizi ya baadae KATIKA WAKATI MUHIMU USIO TARAJIA.
CAPO DELGADO au TUKANA UONE hajawahi kumiliki akili popote pale hivyo asikusumbueniMkuu msamehe tu, maana sio akili yake, inaonekana ni mbege zinampeleka vibaya 😂😂
GENTAMYCINE, MZURI SANA na Cognizant Hawa siyo tu kukosa Akili bali hata Ubongo wenyewe hawana!CAPO DELGADO au TUKANA UONE hajawahi kumiliki akili popote pale
Naona tangu umekung'utwa Ban ile I'd yako ya MZURI SANA haijaposti kabisa leo,nenda kidogo ukachangamshe Jukwaa la Mahusiano lisipoe!CAPO DELGADO au TUKANA UONE hajawahi kumiliki akili popote pale hivyo asikusumbueni
CAPO DELGADO au TUKANA UONE hajawahi kumiliki akili popote pale hivyo asikusumbueni
pumbavu unavyomchokoza, mdhalilisha, kumdhihaki, kumshambulia na kumtukana hovyo tena bila sababu yoyote ile GENTAMYCINE huwa hufanyi uchonganishi na huwa huonyeshi chuki dhidi yake?Kaka labda kwa ushauri tu
Mathayo 8:9 .Bible inasema Heri walio wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu.
(Kinyume chake wewe ni mchonganishi)
Biblia inasema msishindane na yule muovu
Pia inasisitiza.
Wafilipi 2:3-4
Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake
Mimi si mtoto wa kujitoa akili na Kujibu kila Mtu , Neno la Mungu ni yote katika vyote.
Mingu akupe hekima ya kulijua neno lake.
MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI NDIVYO MEMA YATAKAVYO KUJIA.
AYUBU22.21.
Huyu Bwana ako adriz Unayemtag kila mara na yeye ngoja nimpekue ili nijiridhishe maana ulivyo Juha una IDs za kutosha ili ujipigie Kura kuwa Mwanachama Bora lakini safari hii nishakwambia utakula chuya mwehu wewe!pumbavu unavyomchokoza, mdhalilisha, kumdhihaki, kumshambulia na kumtukana hovyo tena bila sababu yoyote ile GENTAMYCINE huwa hufanyi uchonganishi na huwa huonyeshi chuki dhidi yake?
na labda tu kwa kukusaidia ni kwamba nje ya hii id yako hapa jamiiforums ila pia nakujua ndani nje na una udhaifu wako mmoja hivyo ukiendelea na huu upuuzi wako nakuanika na hadi na contacts zako ili ujue kuwa sibahatishi
adriz njoo ulione hili linafiki liandamizi
Cc: TUKANA UONE
Mbona amekuwa mchungaji ghafla??Kaka labda kwa ushauri tu
Mathayo 8:9 .Bible inasema Heri walio wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu.
(Kinyume chake wewe ni mchonganishi)
Biblia inasema msishindane na yule muovu
Pia inasisitiza.
Wafilipi 2:3-4
Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake
Mimi si mtoto wa kujitoa akili na Kujibu kila Mtu , Neno la Mungu ni yote katika vyote.
Mingu akupe hekima ya kulijua neno lake.
MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI NDIVYO MEMA YATAKAVYO KUJIA.
AYUBU22.21.
Sindano zangu kali zimesaidia sana kumfanya mtu aanze kusoma Bible daily.Ukiambiwa athari chanya za vita ndio hizo.Mbona amekuwa mchungaji ghafla??