Yanga SC nawatahadharisha msiidharau Mbao FC leo kwani hata Wababe na Matajiri wa DTB FC hawakuamini kilichowakuta

Yanga SC nawatahadharisha msiidharau Mbao FC leo kwani hata Wababe na Matajiri wa DTB FC hawakuamini kilichowakuta

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Najua kuanzia katika Karatasi na Jicho la Kiufundi la kila Mdau wa Soka ndani na nje ya Tanzania anawapa Yanga SC 100% ya Kushinda leo dhidi ya Mbao FC katika ASFC, ila TAHADHARI inatakiwa ichukuliwe mno na Yanga SC kwani katika Mpira wa Miguu lolote laweza Kutokea na Mifano ya hili iko mingi tu.

Kwa tunaoifuatilia kwa Umakini Ligi ya Daraja la Kwanza iitwayo Championship mtakubaliana nami kuwa kwa Klabu ya DTB ilivyo na Wachezaji wazuri, wakubwa na Wazoefu hata leo hii ikukutana na akina Simba na Yanga ina uwezo wa Kuwafunga vile vile.

Ila hawa hawa DTB FC wenye kila aina ya Wachezaji mahiri tena wanaoijua Ligi Kuu ya Tanzania na wameshavichezea hivi Vilabu Vikongwe nchini Walifungwa na Mbao FC hi hii ambayo leo inacheza na Yanga SC katika Uwanja wa CCM Kirumba na hawakuamini Macho na Masikio yao.

Niwatakie Kila Ia Kheri Timu zote Leo!
 
Usijali GSM washatangulia mwanza na bahasha zao
Endeleeni na akili na mawazo hayo hayo huku timu yenu ikiendelea kuwa dhaifu huku mkipata penati, kadi nyekundu kwa mpinzani lakini kuvitumia mmeshindwa. Kama mna ushahidi wa hizi tuhuma mnashindwaje kufungua kesi?
 
Em Oneni Mpira Tunaoupiga Hapa Kwenye Hii Mvua Af Kuna Mandondocha Wanasema Tunahonga [emoji23][emoji23]
 
Mkuu Tafadhari Inabidi Uipe Timu Inayoenda Kukutana Na Young Africans.

Maana Hakuna Timu Itabaki Salama Kwa Young Africans.
 
Nimeenda kuoa leo baba mkwe kaniuliza kama mimi ni yanga..

Nishajipatia mke hapa tayari yanga hii full shangwe.
 
Mods leo msimpe ban maana angalau hajatukana..
Kama una Ushahidi kuwa Mimi ni huyo Mpuuzi Mwemzako tafadhali uwasilishe upesi kwa hao Mods ili hatua stahiki na za Kiutaratibu wa Jamvi hili zichukuliwe dhidi yake otherwise kama huna just keep your Pig Mouth like Shut okay?
 
Najua kuanzia katika Karatasi na Jicho la Kiufundi la kila Mdau wa Soka ndani na nje ya Tanzania anawapa Yanga SC 100% ya Kushinda leo dhidi ya Mbao FC katika ASFC, ila TAHADHARI inatakiwa ichukuliwe mno na Yanga SC kwani katika Mpira wa Miguu lolote laweza Kutokea na Mifano ya hili iko mingi tu.

Kwa tunaoifuatilia kwa Umakini Ligi ya Daraja la Kwanza iitwayo Championship mtakubaliana nami kuwa kwa Klabu ya DTB ilivyo na Wachezaji wazuri, wakubwa na Wazoefu hata leo hii ikukutana na akina Simba na Yanga ina uwezo wa Kuwafunga vile vile.

Ila hawa hawa DTB FC wenye kila aina ya Wachezaji mahiri tena wanaoijua Ligi Kuu ya Tanzania na wameshavichezea hivi Vilabu Vikongwe nchini Walifungwa na Mbao FC hi hii ambayo leo inacheza na Yanga SC katika Uwanja wa CCM Kirumba na hawakuamini Macho na Masikio yao.

Niwatakie Kila Ia Kheri Timu zote Leo!
Wewe kama GENTAMYCINE nasema huna akili
 
Back
Top Bottom