Yanga SC, Ubora Wenu Usipimwe kwa Kuifunga Simba

Tulia tu
 
Wao ukiwagusa utasikia tukutane tar 13 yaani kwao kuifunga simba ni big deal wakiongozwa na yule zeru zeru anayejizima data.
Simba ndio kibonde wa Yanga, Kila mtu anajivunia kibonde wake.
Ukiona unaonewa na Yanga amia ligi ya Zanzibar.
 
Simba ndio kibonde wa Yanga, Kila mtu anajivunia kibonde wake.
Ukiona unaonewa na Yanga amia ligi ya Zanzibar.
Simba kwa Yanga ni kama pombe ya ngomani tu, unajichotea tu.

Ndio sababu mashabiki wa Simba wana chuki na Yanga na siyo utani kabisa ni chuki pasee.
 
Umeharisha
 
Simba kwa Yanga ni kama pombe ya ngomani tu, unajichotea tu.

Ndio sababu mashabiki wa Simba wana chuki na Yanga na siyo utani kabisa ni chuki pasee.
Mmekojolewa viwili huko, vipi mmeshatawaza au bado mnataka zifike hadi mji wa mimba??? Poleeeeeeeeni

Byuti byuti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Khaaaa!!!!
Mmekojolewa viwili huko, vipi mmeshatawaza au bado mnataka zifike hadi mji wa mimba??? Poleeeeeeeeni

Byuti byuti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simba kwa Yanga ni kama pombe ya ngomani tu, unajichotea tu.

Ndio sababu mashabiki wa Simba wana chuki na Yanga na siyo utani kabisa ni chuki pasee.
Ila mashabiki wa yanga hawana chuki na simba?πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…