Au Mama mkanye mwanao. 😂😂😂😂Mwana ukomeee
Vyuraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 3-1Ajiiiiiiiiiib
Leo tunao Stand mpaka kieleweke. 😂😂😂😂Chikupeeeeo
Acha unaa,lazima tuwakalisheKweli kabisa gemu yetu hii ila najaribu kuwaza kama stendi wanatutoa jasho hivi nyumbani itakuwaje mbele ya simbaaaaaaaaaaa tarehe 30
Mambo ni MoootooooWeraaaaaaaaa
Hawa watoto wetu tuLeo tunao Stand mpaka kieleweke. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na tumeshawakalisha.Acha unaa,lazima tuwakalishe
Watangaze tu tarehe ya kutukabidhi kombeMimi naona yanga wapewe ubingwa tu game zilizobaki tuzifanye za kirafiki[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipo hapa mamiii...nilienda kupindua meza ya shabiki wa mikia [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hazard uko wapi?
Stendi wamemitanguliza stendi kazi ipo leoNa tumeshawakalisha.
Ni kweli mkuu[emoji41] [emoji41]Naona baskeli ya vyuraa imepata pancha stendi