Yanga SC wafanye yafuatayo dirisha dogo

Yanga SC wafanye yafuatayo dirisha dogo

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Baada ya kuutuzama kiufundi mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa Africa baina ya yangu Yanga sc dhidi ya CR Belouizdad ya nchini Algeria nafikiri uongozi wa Yanga sc unapaswa kuzinduka haraka ikiwa wanataka timu yetu ifanye vizuri kimataifa

1: kwa ujumla wake yanga sc hawakucheza vibaya kama timu lakini hawakucheza kikubwa Kulingana na dhana nzima ya mashindano hayo kulinganisha na wapinzani wao ambao niwazi walikwenda kutafuta matokeo na sio kufanya utoto wa kama yanga, ile ni champions league, means tunapambana na mabingwa kutoka mataifa mengine tena yaliyo juu kisoka kulinganisha na nchi yetu, ni vyema kwenda kwa tahadhari haijalishi ubora ulio nao, kule haichezi kmc au namungo ambao wanaweza pata nafasi tano wakakosa zote kule scoring chance ni chache na wapinzani wakizipata lazima ulizwee.

2: Yanga inapaswa kuingia sokoni na kupata offensive prolific winger mmoja, ambae atachukua nafasi ya jesus moloko ambae niwazi hawezi kuifikisha yanga popote kimataifa kwa style yake ya uchezaji ambayo ni yakizamani sana, he is too direct na hana power wala skills

3: Kennedy Musonda na Clement mzize hawawezi kuivusha yanga hatua hii ya makundi, tukianza na Musonda, huyu mzambia hana utulivu, ball control yake NI mbaya, ni mchezaji mzuri ikiwa mechi ina mianya mingi ya watu kukimbia lakini katika narrow defensive line huyu ni mzigo sababu hana skills za kujitengenezea nafasi na anahama hama hovyo katika eneo lake kiasi kwamba tukitaka kufanya counter attack humkuti katika boxi la wapinzani itakuwa jambo jema Yanga wakiachana nae mwisho wa msimu
Kuhusu mzize he is very skilled, sharpness yake ni nzuri sana na pia anaweza cheza kama winger wa either kushoto ama kulia tatizo maturity yake, na sio clinical finisher, anahitaji nafasi zaidi ya moja kufunga jambo ambalo linalomfanya asiwe tegemezi kikosini.

Mengine WANAYANGA wenzangu mnaweza kuchangia[emoji2772]
 
Over confidence tu ndo ilimgharimu UTO jana lakn wapo vzuri sana. I hope watavuka kwenda Robo
 
Baada ya kuutuzama kiufundi mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa Africa baina ya yangu Yanga sc dhidi ya CR Belouizdad ya nchini Algeria nafikiri uongozi wa Yanga sc unapaswa kuzinduka haraka ikiwa wanataka timu yetu ifanye vizuri kimataifa

1: kwa ujumla wake yanga sc hawakucheza vibaya kama timu lakini hawakucheza kikubwa Kulingana na dhana nzima ya mashindano hayo kulinganisha na wapinzani wao ambao niwazi walikwenda kutafuta matokeo na sio kufanya utoto wa kama yanga, ile ni champions league, means tunapambana na mabingwa kutoka mataifa mengine tena yaliyo juu kisoka kulinganisha na nchi yetu, ni vyema kwenda kwa tahadhari haijalishi ubora ulio nao, kule haichezi kmc au namungo ambao wanaweza pata nafasi tano wakakosa zote kule scoring chance ni chache na wapinzani wakizipata lazima ulizwee.

2: Yanga inapaswa kuingia sokoni na kupata offensive prolific winger mmoja, ambae atachukua nafasi ya jesus moloko ambae niwazi hawezi kuifikisha yanga popote kimataifa kwa style yake ya uchezaji ambayo ni yakizamani sana, he is too direct na hana power wala skills

3: Kennedy Musonda na Clement mzize hawawezi kuivusha yanga hatua hii ya makundi, tukianza na Musonda, huyu mzambia hana utulivu, ball control yake NI mbaya, ni mchezaji mzuri ikiwa mechi ina mianya mingi ya watu kukimbia lakini katika narrow defensive line huyu ni mzigo sababu hana skills za kujitengenezea nafasi na anahama hama hovyo katika eneo lake kiasi kwamba tukitaka kufanya counter attack humkuti katika boxi la wapinzani itakuwa jambo jema Yanga wakiachana nae mwisho wa msimu
Kuhusu mzize he is very skilled, sharpness yake ni nzuri sana na pia anaweza cheza kama winger wa either kushoto ama kulia tatizo maturity yake, na sio clinical finisher, anahitaji nafasi zaidi ya moja kufunga jambo ambalo linalomfanya asiwe tegemezi kikosini.

Mengine WANAYANGA wenzangu mnaweza kuchangia[emoji2772]
Naunga hoja!!
 
Ukiachana na winger, na striker tunahitaji kiungo mkabaji halisi na mwenye uwezo wa kumiliki mpira ili aucho acheze Central midfielder. Aucho ni mzuri sana kama akicheza Central midfielder.

Majukumu ya Central midfielder uwanjan ni muichezesha team , na kiungo huyu sifa zake anapaswa kuwa mzuri ktk upigaji wa pasi fupi na ndefu kiusahihi. Aucho ana sifa hizo zote na pia aucho anaweza kusadia ktk kukaba kabla kiungo mkabaji hajafikiwa.

Winger mbunifu ambye anaweza miliki mpira na kuwafata mabeki, winga anayelifata box la adui. Kama morison ila asiwe kichaa tu.

Mechi ngumu kama hizi za kimataifav pacome au max acheze namba 10 aziz ki atokee bench sio lazima wacheze wote.

Max tunakosa kipaji kumchezesha pemben max anapaswa kucheza namba 10
 
Ukiachana na winger, na striker tunahitaji kiungo mkabaji halisi na mwenye uwezo wa kumiliki mpira ili aucho acheze Central midfielder. Aucho ni mzuri sana kama akicheza Central midfielder.

Majukumu ya Central midfielder uwanjan ni muichezesha team , na kiungo huyu sifa zake anapaswa kuwa mzuri ktk upigaji wa pasi fupi na ndefu kiusahihi. Aucho ana sifa hizo zote na pia aucho anaweza kusadia ktk kukaba kabla kiungo mkabaji hajafikiwa.

Winger mbunifu ambye anaweza miliki mpira na kuwafata mabeki, winga anayelifata box la adui. Kama morison ila asiwe kichaa tu.

Mechi ngumu kama hizi za kimataifav pacome au max acheze namba 10 aziz ki atokee bench sio lazima wacheze wote.

Max tunakosa kipaji kumchezesha pemben max anapaswa kucheza namba 10
Uko sahihi kaka, kuna muda niliwaza jana kwa nini gamond asingempeleka aziz kulia zaid mwa uwanja then maxi awe inside 10 wakati pacome aki operate zaidi kushoto then muda alitakiwa aende benchi aingie mkude ili aucho awe juu.. Anyway hiyo imepita na naungan mkono hoja tunahitaji prolific winger na kiungo mkabaji, pamoja na shambuliaji katili ASAP
 
Back
Top Bottom