Yanga SC wakitaka kuepuka kipigo kwa Simba SC, wafanye kama Manchester Utd

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Yanga SC wakitaka kuepuka kipigo kizito kutoka kwa Mnyama Mkali Simba SC, hapo Mei 8, 2021, basi wafanye kama walivyofanya mashabiki wa Manchester United na kusababisha game yao na Liverpool kutochezwa.

Wanavamia Uwanja wa Mkapa na viunga vyake na kuandamana kulazimisha wadhamini wao kampuni ya GSM apewe timu moja kwa moja, huku wakipinga adhabu ya Makamu M/Kiti Mwakalebela.

Kutokana na hali hiyo itapelekea mchezo wa Simba SC na Yanga SC kutochezwa hivyo kuahirishwa.

Vinginevyo Simba SC wamejipanga na kujiandaa vilivyo na wanakusudia kufanya mauaji zaidi ya yale ya Kimbari.

Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana.
 
Uto hii mbinu itasaidia kurudi na kujipanga upya, msije kusema hamjaambiwa.
 
Hapo uzi tayari, Rage akiwaita majina mnayoendana nayo mnasema mzee anazengua

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Umbumbumbu ni mzigo wa kichwa na mwili
Nyie Uto hii mbinu itawasaidia kwasababu safari hii hakuna uchawi pale kwa Mkapa si umemsikia Zaka, Afisa Habari wa Azam FC baada ya game yenu ambayo mlichapwa moja kwa Nunge..!
 
Yanga hatuna presha kwa simba kabisa,tutapambana kwa kadri ya uwezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…