Mazoea hutumbua usaha
Ina umiza sana na kukera wachezaji tulikuwa vizuri na kocha cha ajabu unafukuza kocha kihuni.. sisi kama wachezaji tunavunjika sana moyo.
Yanga wanakosa hamasa tu kama ya mwanzo ila timu ipo vizuri.
Kwa mashabiki maandazi wa Tanzania hapo wataanza kutukana na kugukuzisha wachezaji