Yanga SC wanastahili kupata ushindi wa mezani kwa huu ujinga wa TFF.

Yanga SC wanastahili kupata ushindi wa mezani kwa huu ujinga wa TFF.

Nyie utopolo kama mmeshindwa kushiriki kimataifa kaeni pembeni sio mlazimishe timu zifungiwe kimataifa
Mie n mdau wa soka na kwa taarifa sina mapenzi ya Simba wala yanga sema ikifikia pahali natakiwa kuchagua Simba au yanga ntachagua Simba.

Ila kwa hili Simba, bodi ya ligi, TFF na wizara wote wameshindwa kutafsiri kanuni zao vizuri Yan hawajui Mpira kwamaana taaluma zao huenda n duni au wameziweka mfukoni wavuke barabara kwanza
 
Sasa viingilio vyetu itakuwaje,Naomba FIFA walitazame hili na watoe adhabu kwa wahusika
 
Mie n mdau wa soka na kwa taarifa sina mapenzi ya Simba wala yanga sema ikifikia pahali natakiwa kuchagua Simba au yanga ntachagua Simba.

Ila kwa hili Simba, bodi ya ligi, TFF na wizara wote wameshindwa kutafsiri kanuni zao vizuri Yan hawajui Mpira kwamaana taaluma zao huenda n duni au wameziweka mfukoni wavuke barabara kwanza
Kwani Simba ndio wameairisha mechi msiwe mnakurupuka walioairisha mechi ni tff nq bodi ya ligi kwa agizo la wizara sasa Simba inaingiaje hapo
 
Kama yanga imeingiza kikosi nipe kikosi cha yanga kinachoanza
Halafu aseme kama walikaguliwa na marefa na kuingia uwanjani kisha refa akasubiri dakika kumi na tano na kisha kupuliza kipenga cha kumaliza mchezo.
 
Kwani Simba ndio wameairisha mechi msiwe mnakurupuka walioairisha mechi ni tff nq bodi ya ligi kwa agizo la wizara sasa Simba inaingiaje hapo
Simba tulitakiwa au walitakiwa kujipima na kutafsiri Sheria kabla ya kufanya uamuzi.

Kutokujua Sheria haikuondolei hatia ya kuhukumiwa Lisa lako kabla kitu au watu au utaratibu Basi Sheria huanza kabla
 
Kuipa Yanga ushindi wa mezani itakuwa sio haki kwa Simba. Pia kama Yanga wasipoingiza team saa moja kuipa Simba ushindi wa mezani itakuwa sio haki kwa Yanga.

TFF pamoja na bodi ya ligi wanatakiwa wapigwe fine na FIFA kwa kukubali kupelekwa kisiasa kinyume na taratibu za FIFA.

Tunahitaji mtu awajibishwe iwe funzo siku nyingine.
Pointi 3 na magoli 2 hutolewa na mwamuzi wa kati. Leo hakukuwa na mwamuzi wa kati wakati ya ga wameingiza timu uwanjani! Hizo pointi 3 xitatolewa na nani!!
 
Salaam.

Kama Yanga wakiamua kudai haki yao ya pointi za mezani naona wana kila sababu ya kupata pointi tatu na magoli mawili.

Hii ni kwasababu walikidhi matakwa ya kanuni inayotaka wapeleke timu uwanjani Kanuni ya 15 (10) ya Ligi Kuu; muda wa mchezo uliopangwa, wakae dakika thelathini, kama mpinzani wao akiwa bado hajatokea basi waondoe timu yao uwanjani.

Simba SC hapa wameingizwa chaka na TFF, wamefuata tamko la TFF/ bodi ya ligi kuahirisha muda wa mchezo bila kuangalia kanuni zinasemaje, naamini Simba wakiulizwa kwanini hawakupeleka timu uwanjani watadai ni kutokana na tamko la TFF.

Lakini kwa bahati mbaya hilo tamko la TFF limekosa weledi wa kanuni za soka, wameahirisha muda wa kuanza mchezo bila kusema wametumia sheria/kanuni ipi kufanya hivyo.

Natumai hili tukio la leo litakuwa fundisho tosha kwa soka letu na wote wanaoliendesha, ni vyema kanuni na sheria za mpira zifuatwe kuamua hatma ya matukio ya uwanjani badala ya mamlaka husika kukurupuka tu na kujiamulia mambo pasipo kufuata sheria.
Wakati mnaingiza timu uwanjani refa alikuwepo??
 
Wakati mnaingiza timu uwanjani refa alikuwepo??
Alikuwa mitini kinyume cha taratibu na kanuni za kuendesha soka, hapa refa, Simba, na TFF wote wana makosa.
 
Simba tulitakiwa au walitakiwa kujipima na kutafsiri Sheria kabla ya kufanya uamuzi.

Kutokujua Sheria haikuondolei hatia ya kuhukumiwa Lisa lako kabla kitu au watu au utaratibu Basi Sheria huanza kabla
Mechi ya yanga na azam ilikuwa ichezwe saa kumi ikasogezwa hadi saa mbili usiku na taarifa ilitolewa saa 6 mchana, mechi ya yanga na biashara ilikuwa ichezwe saa 10 ikasogezwa hadi saa 1 usiku na taarifa ilitolewa saa 8 mchana mbona yanga hawakugoma
 
Salaam.

Kama Yanga wakiamua kudai haki yao ya pointi za mezani naona wana kila sababu ya kupata pointi tatu na magoli mawili.

Hii ni kwasababu walikidhi matakwa ya kanuni inayotaka wapeleke timu uwanjani Kanuni ya 15 (10) ya Ligi Kuu; muda wa mchezo uliopangwa, wakae dakika thelathini, kama mpinzani wao akiwa bado hajatokea basi waondoe timu yao uwanjani.

Simba SC hapa wameingizwa chaka na TFF, wamefuata tamko la TFF/ bodi ya ligi kuahirisha muda wa mchezo bila kuangalia kanuni zinasemaje, naamini Simba wakiulizwa kwanini hawakupeleka timu uwanjani watadai ni kutokana na tamko la TFF.

Lakini kwa bahati mbaya hilo tamko la TFF limekosa weledi wa kanuni za soka, wameahirisha muda wa kuanza mchezo bila kusema wametumia sheria/kanuni ipi kufanya hivyo.

Natumai hili tukio la leo litakuwa fundisho tosha kwa soka letu na wote wanaoliendesha, ni vyema kanuni na sheria za mpira zifuatwe kuamua hatma ya matukio ya uwanjani badala ya mamlaka husika kukurupuka tu na kujiamulia mambo pasipo kufuata sheria.
Naunga mkono hoja!
 
Mechi ya yanga na azam ilikuwa ichezwe saa kumi ikasogezwa hadi saa mbili usiku na taarifa ilitolewa saa 6 mchana, mechi ya yanga na biashara ilikuwa ichezwe saa 10 ikasogezwa hadi saa 1 usiku na taarifa ilitolewa saa 8 mchana mbona yanga hawakugoma
Kutokujua kosa Ni kosa kubwa Sana hata siku moja usikubali kufanya jambo kinyume na utaratibu eti sababu ulizoea.

Kwa Mana hyo TFF ilizoea huo mchezo pili yanga Wana sababu za kuwashtaki kwa Mana TFF walizoea kuwaburuza.

Nasemaje hao jamaa wote waondoke waache Mpira uongozwe na wanataaluma wa mpira.

ANGALIZO: Isiwe sababu ya wanasiasa au waandishi wa habari za michezo au wacheza Mpira au sababu upo tuu karibu na ofisi za TFF au uwanja wa mpira ndio utake kuongoza Mpira tafadhali Sasa Ni wakati wa watu wenye weledi na taaluma ya uongozi wa mpira sitegemei waandishi wa habari za michezo sijui wachambuzi wa soka wakimbilie kujaza nafasi nadhani waendelee kuongeza ubunifu kwenye taaluma zao
 
Kwa ili tff tunawaonea tu ,kama lawama tuwape serikal kupitia wizara ya michezo na pia kwa namna fulan yanga hawakwepi lawama apa suhala la mechi kusogezwa kwa muda lipo sio tz tu na hawa yanga ni miongon walioshawai kufanya ivyo dunian hakuna sheria ambayo inakua sawa kwa kila ktu muda ,ningewaona yanga wapo sahihi kama tu tff wangetangaza kusogezwa mbele kwa kubadil tarehe muda mchache kabla ya mechi ila kwa nchi kama tz na sheria zetu na nchi yetu ingekua vzur yanga wangecheza iyo mechi
 
Back
Top Bottom