OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Usiku wa kuamkia leo nimepokea barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhasibu umepokea wewe kama nani?View attachment 3170116
Usiku wa kuamkia leo "nimepokea" barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
Ukidaiwa kwa kiwango cha kushtakiwa kila wakati ni either umefilisika au umekuwa tapeli.Unaishi bila madeni na unajiita mwanaume? Hata Marekani inadaiwa.
Hii klabu sasa ivunjwe tuView attachment 3170116
Usiku wa kuamkia leo nimepokea barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
Kwa mentality ndio maana wengi wenu mnapenda kukopa ila hamtaki kulipa, ndio maa mna maadui Kila Kona kwanzia ndani ya familia yako sababu ya kutokulipa madeni ya watuUnaishi bila madeni na unajiita mwanaume? Hata Marekani inadaiwa.
Niombeni niwalipie, si mnapenda kulipiwaKwahyo sisi tukusaidiaje?
Cha ajabu Yanga inashtakiwa kila mara ila bado inaendelea kusajiri. Hakuna dirisha limepita bila Yanga kusajiri mchezaji. Kwahiyo hizi ban za kawaida tu hela zitalipwaUkidaiwa kwa kiwango cha kushtakiwa kila wakati ni either umefilisika au umekuwa tapeli.
FIFA jana ilihamia Kwa muda Miami kwa ajili ya droo ya club world cupHizi barua mbona kuna ya okrah pia ila TFF hawakutoa maelezo yoyote pia ukakasi makao makuu ya FIFA si yapo ulaya happ mbona ni Miami??
YapCha ajabu Yanga inashtakiwa kila mara ila bado inaendelea kusajiri. Hakuna dirisha limepita bila Yanga kusajiri mchezaji. Kwahiyo hizi ban za kawaida tu hela zitalipwa
Kama vibaka, unapeleka polisi kesho yupo mtaa.Cha ajabu Yanga inashtakiwa kila mara ila bado inaendelea kusajiri. Hakuna dirisha limepita bila Yanga kusajiri mchezaji. Kwahiyo hizi ban za kawaida tu hela zitalipwa
Umepokea barua wewe ndo yanga?View attachment 3170116
Usiku wa kuamkia leo nimepokea barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
Umeona chini ya ya maandishi ya barua pameandikwa Micky Jnr. Hii maana yake nini?Ukidaiwa kwa kiwango cha kushtakiwa kila wakati ni either umefilisika au umekuwa tapeli.
Haapaanaah! BIG NO! Waje Kwanza wakupigie magoti! Kudadadeki zao! Si Wamezoea kuiga hao! Kwa hili naona wameshindwa kuiga! Waige Taifa Kubwa kuishi bila wasiwasi, bila madeni! Madhulumaji hao?Niombeni niwalipie, si mnapenda kulipiwa
Kama wewe ni mwaaume na hudaiwi basi jua huna akili.Kwa mentality ndio maana wengi wenu mnapenda kukopa ila hamtaki kulipa, ndio maa mna maadui Kila Kona kwanzia ndani ya familia yako sababu ya kutokulipa madeni ya watu