Yanga SC yafungiwa tena kwa kushindwa kulipa madeni ya usajili

Yanga SC yafungiwa tena kwa kushindwa kulipa madeni ya usajili

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
998295d6e7da4465a67ecafcd4016c0f.jpg

Usiku wa kuamkia leo nimepokea barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
 
Niombeni niwalipie, si mnapenda kulipiwa
Haapaanaah! BIG NO! Waje Kwanza wakupigie magoti! Kudadadeki zao! Si Wamezoea kuiga hao! Kwa hili naona wameshindwa kuiga! Waige Taifa Kubwa kuishi bila wasiwasi, bila madeni! Madhulumaji hao?
 
Kwa mentality ndio maana wengi wenu mnapenda kukopa ila hamtaki kulipa, ndio maa mna maadui Kila Kona kwanzia ndani ya familia yako sababu ya kutokulipa madeni ya watu
Kama wewe ni mwaaume na hudaiwi basi jua huna akili.
 
Back
Top Bottom