Yanga SC Yapanda Namba 9 Viwango Vya Klabu Bora Afrika

Yanga SC Yapanda Namba 9 Viwango Vya Klabu Bora Afrika

Hii ni orodha ya matokeo ya viwango vipya ambavyo vimetolewa na Shirikisho laa Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu yaani (IFFHS)

Link:- (IFFHS)

Kongole kwa GSM kwa maana jitihada zako zisizo na mbambamba zimefanya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Kushika nafasi ya 9 ambayo haijawahi kufikiwa na Klabu yeyote ile kutoka ukanda wa nchi waasisi za Afrika Mashariki.

Natumai baada ya kuchukua ubingwa wa CAFCC tutafika hadi nafasi ya 2 kiafrika.

Matunda ya uwekezaji bora, usajili bora na uendeshaji bora wa kisasa wa klabu ndio haya sasa.View attachment 2622188
MDA SI MREFU MADRID WATAOMBA MKATABA WA USHIRIKIANO NA YANGA
 
Kipindi IFFHS walivyotoa takwimu na simba kushika nafasi ya 9 mliwapa kongole kubwa iffhs na kujiita giant na hakuna shabiki wa yanga aliyewaponda iffhs.
Leo kibao kimegeuka mnawaita iffhs ni wa mchongo kisa hawajafanya mnachokipenda.
Rage yupo sahihi kabisa mashabiki wa simba ni mambumbumbu
 
Sawa, lakini hii list hamna kitu hii. Timu zote mbovu. Timu zilizokuwepo ile list ya mara ya mwisho na kurudi nyuma ndiyo zilikua timu ngumu.
Hizi za safari hii nyepesi sana. Kwanza sasa hivi focus ya CAF ipo kwenye Super League, siyo hizi rang
Kombe la mwezi mmoja [emoji16]
 
Ujinga ni nini?, Ujinga ni pale shabiki wa ndundukwa fc kukataa taarifa ya taasisi waliyokuwa wanaitumia pale ilipokuwa inatoa ubora wa timu yao 😅.... Ila saiz hawaitambui tena kisa imetoa takwimu wasizozipenda.waliongozwa na ze big popoma aliyepokonywa beji platinum OKW BOBAN SUNZU.

😅👈
 
mashabiki ma za cafandazi hizo ni takwimu za miezi kadhaa tu sio takwimu za jumla za caf
 
Yako wapi?
Kaa kwa kutulia
Yako wapi?
soma hapo
 
Hii ni orodha ya matokeo ya viwango vipya ambavyo vimetolewa na Shirikisho laa Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu yaani (IFFHS)

Link:- (IFFHS)

Kongole kwa GSM kwa maana jitihada zako zisizo na mbambamba zimefanya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Kushika nafasi ya 9 ambayo haijawahi kufikiwa na Klabu yeyote ile kutoka ukanda wa nchi waasisi za Afrika Mashariki.

Natumai baada ya kuchukua ubingwa wa CAFCC tutafika hadi nafasi ya 2 kiafrika.

Matunda ya uwekezaji bora, usajili bora na uendeshaji bora wa kisasa wa klabu ndio haya sasa.View attachment 2622188
Data za FIFA hizo
IMG-20230515-WA0128.jpg
 
Leo ndio mnapata akili za kuhojji juu ya hizi takwimu za IFFHS kwavile tu Yanga ipo juu ya Simba na pia ipo nafasi za juu ndio mnashangaa lakini kipindi kile Simba inawekwa mlikuwa mnakuja kupongezana na hakuna aliyehoji kuwa kivipi. Endeleeni kupokea ranking, kama walivyotumia vigezo vya kuipandisha Simba ndivyo wanavyotumia kuipandisha Yanga hadi nafasi ya tisa. Kutesa kwa zamuView attachment 2622445View attachment 2622447View attachment 2622448
Kwahiyo Yanga ana points ngapi mpaka sasa hivi mana naona hapo points zimetumika kurank
 
Leo ndio mnapata akili za kuhojji juu ya hizi takwimu za IFFHS kwavile tu Yanga ipo juu ya Simba na pia ipo nafasi za juu ndio mnashangaa lakini kipindi kile Simba inawekwa mlikuwa mnakuja kupongezana na hakuna aliyehoji kuwa kivipi. Endeleeni kupokea ranking, kama walivyotumia vigezo vya kuipandisha Simba ndivyo wanavyotumia kuipandisha Yanga hadi nafasi ya tisa. Kutesa kwa zamuView attachment 2622445View attachment 2622447View attachment 2622448
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom