Yanga SC yapangwa dhidi ya Woilatta Dicha ya Ethiopia

hi

Historia inaweza kujirudia, kikubwa ni maandalizi mazuri na kujiamini basi.
Tatizo la viongozi mechi kma hizi awazichukulii umuhimu ingekuwa wanacheza na watani wao ungeona maandalizi yalivyo kumbuka mechi na Township ilifika ata uwanja wa mazoezi wanalumbanana na TFF na wamiliki wa uwanja wa Taifa
 
Hata makirikiri FC walikuwa hawafahamiki. Jipeni moyo wawajambishe vizuri
 
Kweli kabisa.. Yanga wamepata timu yakawaida sana.. Wakishindwa na hapa basis hawabebeki
 
Naona vijana wa matopeni mnaona wivu sana kwa Yanga kuendelea na michuano hii!!! Jitahidini mwaka huu mchukue kombe la ligi ili nanyi muonje hiyo tamu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…