Yanga sioni ikitoboa kimataifa

Yanga sioni ikitoboa kimataifa

Huyu huyu township aliyempiga yanga goli mbili pale taifa ama
Ndo hawa kumbe
Screenshot_20190808-163837.jpeg
 
Pilipili ya shamba yakuwashia nini? Wewe angalia ya Simba, achana na timu ya wananchi!
 
KWA MSISITIZO "YANGA SAFARI YAKE INAHITIMISHWA JUMAMOSI"

Yanga vs Township Rollers
1-0, 2-1 au 2-2, 1-2
haya ni matokeo yatakayo tokea Jumamosi tarehe 10 saa 12 jioni.

Mechi ya Marudiano

Township Rollers 3 Yanga 1

Labda Yanga akijipanga anaweza sumbua Ligi Kuu, ila kwa sasa team haijakaa sawa
 
Naunga mkono Hoja kwa kiasi kikubwa ila ushabiki umekujaa kwenye mawazo yako. Una uhakika gani simba itafika mbali kwenye hayo mashindano?
 
Naunga mkono Hoja kwa kiasi kikubwa ila ushabiki umekujaa kwenye mawazo yako. Una uhakika gani simba itafika mbali kwenye hayo mashindano?
Hapo nimezungumzia yanga pekee Wala sijaizungumzia Simba na nimetoa facts ningekuwa mshabiki nisingeitoa facts zaidi ya kuropoka.
 
Me ni mshabiki wa Simba ila ningependa timu ya yanga ifanye vizuri mechi za caf ili tuwe na timu nyingi za Tanzania lakini pamoja na matamanio hayo ila niliangalia kiuhalisia naiona kabisa ni ngumu kwa yanga kuitoa township rollers kwa vigezo vifuatavyo

1.maandalizi sio yakutosha
Timu ya township rollers imecheza mechi nne dhidi ya strong opponents pre season tofauti na yanga imecheza na timu ambazo sio nzuri ukiitoa ile timu ya Kenya

2.hakuna combination nzuri kwa yanga
Yanga inawachezaji wengi wapya kulinganisha na township rollers ambao wameuza wachezaji wanne tu kwenye timu yao na kuingiza wachezaji wanne yaani hamna mabadiliko makubwa Sana kwenye timu yao ndo maana kocha ametengeneza good coordination ya team kwa muda mfupi Bali kwa yanga inaitaji muda mrefu mpaka kocha wao atengeneze combination nzuri kutokana na weakness zilizoonekana ktk timu na pia ukinzingatia wana muda mfupi mpaka kufika siku ya mechi jumamosi.
Concentrate kwenye timu yako. Hujasikia Uchebe anasema Mbrazil na Wawa lugha gongana?
Ya Yanga tuachie wenyewe. Nendeni mkaroge Wamakonde wa Msumbiji .
 
Me ni mshabiki wa Simba ila ningependa timu ya yanga ifanye vizuri mechi za caf ili tuwe na timu nyingi za Tanzania lakini pamoja na matamanio hayo ila niliangalia kiuhalisia naiona kabisa ni ngumu kwa yanga kuitoa township rollers kwa vigezo vifuatavyo

1.maandalizi sio yakutosha
Timu ya township rollers imecheza mechi nne dhidi ya strong opponents pre season tofauti na yanga imecheza na timu ambazo sio nzuri ukiitoa ile timu ya Kenya

2.hakuna combination nzuri kwa yanga
Yanga inawachezaji wengi wapya kulinganisha na township rollers ambao wameuza wachezaji wanne tu kwenye timu yao na kuingiza wachezaji wanne yaani hamna mabadiliko makubwa Sana kwenye timu yao ndo maana kocha ametengeneza good coordination ya team kwa muda mfupi Bali kwa yanga inaitaji muda mrefu mpaka kocha wao atengeneze combination nzuri kutokana na weakness zilizoonekana ktk timu na pia ukinzingatia wana muda mfupi mpaka kufika siku ya mechi jumamosi.
Sawa mrithi wa sheikh Yahya
 
Nyie mikia wale songo mnawajua vizuri wale hawapigi 5-0 wale ni 6-0,7-0,8-0..😂😂
 
Ukisikia ujinga ndiyo huo mashabiki wa mikia mmekuwa mashoga wa kificho sasa mnakuja hadharani unafikiri hili uendelee kimataifa lazima utumie uongozi wa kusisiasa katika michezo huo ni ujinga mipira haiendeshwi hivyo jifunze kwa walioendelea hacha kuwa Manara mpira ni kwenye uwanja na siyo mdomoni
 
Kwa hiyo Simba wameishafuzu tayari unaanza kuijadili Yanga
 
Back
Top Bottom