Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
Msemaji mwenye wadhifa wake na kaliba ya semaji la kimataifa ndugu Ally Kamwe amesema hayo leo
Ameyasema hayo kuwatoa hofu mashabiki og na wale chipolopolo wa Masandawana
Ugomvi wetu na Masandawana ni ndani ya dakika tisini tu
Hivyo wale mashabiki chipolopolo wa hapa bongo wanataka kwenda kuwapokea wana Aba Yellows ni ruksa kwenda airport
Wanayanga hatuna ubaya na mtu,siye ni show show tu
Hizo kaniki zenu za njano mtazivaliwa kichwani na kuzivulia kiunoni
Na
kipigo kipo pale pale
Atapigwa shetani na mama mkwe wake
Pokeeni simu,msijifanye hamzioni...
Ameyasema hayo kuwatoa hofu mashabiki og na wale chipolopolo wa Masandawana
Ugomvi wetu na Masandawana ni ndani ya dakika tisini tu
Hivyo wale mashabiki chipolopolo wa hapa bongo wanataka kwenda kuwapokea wana Aba Yellows ni ruksa kwenda airport
Wanayanga hatuna ubaya na mtu,siye ni show show tu
Hizo kaniki zenu za njano mtazivaliwa kichwani na kuzivulia kiunoni
Na
Atapigwa shetani na mama mkwe wake
Pokeeni simu,msijifanye hamzioni...