Yanga: Sisi hatuna chuki na Mashabiki wa Mamelodi Sundowns wakitaka waje tu uwanjani kwa wingi tarehe 30th March 2024

Zouzoutz

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
1,883
Reaction score
2,732
Msemaji mwenye wadhifa wake na kaliba ya semaji la kimataifa ndugu Ally Kamwe amesema hayo leo

Ameyasema hayo kuwatoa hofu mashabiki og na wale chipolopolo wa Masandawana

Ugomvi wetu na Masandawana ni ndani ya dakika tisini tu

Hivyo wale mashabiki chipolopolo wa hapa bongo wanataka kwenda kuwapokea wana Aba Yellows ni ruksa kwenda airport

Wanayanga hatuna ubaya na mtu,siye ni show show tu

Hizo kaniki zenu za njano mtazivaliwa kichwani na kuzivulia kiunoni

Na kipigo kipo pale pale

Atapigwa shetani na mama mkwe wake

Pokeeni simu,msijifanye hamzioni...
 
HILO NDIO LA MUHIMU
Sema itanoga iwapo wale wa upande wa pili watakalishwa hiyo tarehe 29

Mji utatulia zaidi iwapo Yanga naye atapata matokeo ya ushindi tarehe 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…