Yanga: Sisi hatuna chuki na Mashabiki wa Mamelodi Sundowns wakitaka waje tu uwanjani kwa wingi tarehe 30th March 2024

Upuuzi wa kupokea wageni uko utopolo tu
 
Bila sisi werevu na wenye busara zao kujitoa muhanga kutoka hadharani kupinga amri ya serikali na kukemea mipango yenu mlikuwa mnaelekea kubaya sana. Mtushukuru sana asee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…