Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Sifa kuu ya timu kubwa ni kushinda mataji sio mechi moja.Watani.......siwaoni....ππ€£π€£π€£π€£π€£....this time.....Azam fc imekua timu kubwa au.......WATANI.....TUSIFANYIANE HIVYO
Ila mataji huanza na mechi mojaSifa kuu ya timu kubwa ni kushinda mataji sio mechi moja.
Mtani upo π€£π€£π€£Sifa kuu ya timu kubwa ni kushinda mataji sio mechi moja.
Mtani...nakosea kukutania au??1-5 mna vituko. Kafunga azam mnafurahia nyie,wangefungwa mngewasimanga wiki nzima
Mtani wewe unadhani 5-1 mchezo.Aisee.. Kumbe simba mlijawa na uchungu sana
Hilo mtani hajui π€£π€£Ila mataji huanza na mechi moja
Mtani...nakosea kukutania au??
Kwahiyo hujafungwa π€£π€£π€£ mtani
[emoji12][emoji12]Sijafungwa tumeigiza tu kuwaonesha mamelod hatuna jipya wasitupanie sana
Sawa mtaniSio hekima kumkazia dogo, ashinde kidogo apumue, acheke, afurahi michezo si uadui, tusikabe sana tuwaache wapumue kidogo ili tuzilinde ajira zao, na ndio maana ya upendo!
Wazee wa mabilichiWako humu ila leo wanaishi km majirani wambea wakisikia kelele wanachungulia dirishani ...sasa yanga leo wamo humu sio kwamba hawatuone ila wanachugulia wakiwa na maumivu ya fei
Mtani.....hujapaka blichi leoMbumbumbu mnaangaika
Mtani hukosi cha kujitetea π€£π€£π€£Sijafungwa tumeigiza tu kuwaonesha mamelod hatuna jipya wasitupanie sana