wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
Timu ya yanga kimataifa siyo kama Simba.
Yanga kwenye uongozi wa leo wanaushamba fulani au ulimbukeni na wakiwa na akili hizo tutegemee anguko kwenye klabu.
Viongozi wa Yanga kimataifa hawawezi kabisa ila wanakiwango kizuri cha wachezaji lakini uongozi hovyo. Nawatahadharisha wasikilize wazee wa mikoani wawape ushauri.
Yanga kwenye uongozi wa leo wanaushamba fulani au ulimbukeni na wakiwa na akili hizo tutegemee anguko kwenye klabu.
Viongozi wa Yanga kimataifa hawawezi kabisa ila wanakiwango kizuri cha wachezaji lakini uongozi hovyo. Nawatahadharisha wasikilize wazee wa mikoani wawape ushauri.