YANGA: Taarifa kwa Watanzania

Hii UTOPOLO sasa imekuwa ze Comedy yani wanafukuza wajumbe kwa kuwa Gharib imesitisha Kufanya mambo yasiyomuhusu?

Yeye kazi yake ni kutengeza vijora vya Vyura fc 🐸 🐸 acheni shobo.
kwa kweli hili linashangaza sana. uongozi unapogeuka kuwa wapambe na kumlamba matako sponsor
 
Mlimganda Manje awe anawapa pesa za bure kama vile anampa mkewe akakupotezeeni

Sasa tena mmeanza kumganda GSM awe anawapa pesa za bure jamani hayo mambo yameshapitwa na wakati badirikeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati huo huo Kamati ya Utendaji wa Yanga imewasilisha barua GSM kujibu barua yao yenye kumbu kumbu namba GSMGROUP/YANGA/LETTER/2/2020 ya tarehe 24/03/2020 kuhusu kujitoa udhamini wa maswala yasiyo ya kimkataba.
Taarifa ya Mwenyekiti, Dk. Msolla imesema kwamba Barua hiyo imewasilishwa baada ya maamuzi ya pamoja ya kikao cha Kamati ya Utendaji leo.

Hamuoni hata aibu kama GSM ameamua kusitisha kukupeni pesa za bure ambazo hazipo katka mkataba sasa mnalialia nini hadi mnamuandikia na barua kwani kutoa msada ni lazima?

Kitu ambacho mnatakiwa mfanye ni kuifanya Yanga ijitegemee sio kutaka mpewe pesa za bure kila siku

Kama kazi imewashinda tokeni waingie watu wanaojua wasio penda kuombaomba ili waifanye Yanga iwe ni clabu inayojitegemea

Brand ya Yanga inawezo wa kuingizia Yanga pesa na ikaendesha mambo yake bili ya kulialia kutaka mpewe pesa za bure

Nendeni mkawafufue akina Gulamali waendelee kukupeni pesa za bure sijui walikuwa wanazipata wapi na sijui zilikuwa zinarudi vipi kwao

Nyinyi viongozi wa Yanga sasa kila siku mnazidi kututia aibu

GSM usitoe hata shilingi moja ambayo haipo katika mkataba wako hiyo ndio dawa ya mambumbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…