Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
" ...why not! Brother mwenye yake bilioni 2 aje na tutamuuzia Mayele mchana kweupe!"
Duru.
Duru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayele bado Ana mkataba wa mwaka mmoja na Yanga fatilia uoneMayele yupo Yanga kwa mkopo, yanga haitofaidika na chochote kwenye hiyo B2
Baleke ndiyo yupo kwa mkopo, mayele watu walitoa hela,mwanzo wakimtaka lilepo,wakaona dau kubwa wakachukua mayeleSi alikuja kwa mkopo??
Mbona hawa watu wanapenda drama za ajabuajabu?
Anyway..watajijua wenyewe.
Maana tukihoji watasema tunawafuatilia sana...kila mtu apambane na hali yake.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Tunasubiri mwaka uishe aende bure 😁" ...why not! Brother mwenye yake bilioni 2 aje na tutamuuzia Mayele mchana kweupe!"
Duru.
Halafu zikageuka kuwa sahani ya pilau la ikulu chezea wazenji wewe.Si kama zile bilioni za fesali
Mkopo kutoka wapi? hivi kweli kuna timu Africa inaweza kumtoa mchezaji wa cariber ya Mayele mkopo?Si alikuja kwa mkopo??
Mbona hawa watu wanapenda drama za ajabuajabu?
Anyway..watajijua wenyewe.
Maana tukihoji watasema tunawafuatilia sana...kila mtu apambane na hali yake.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Uwezo wako wa kufikiri upo chini.Mkopo kutoka wapi? hivi kweli kuna timu Africa inaweza kumtoa mchezaji wa cariber ya Mayele mkopo?
SanaaaUwezo wako wa kufikiri upo chini.
Chomoa pole pole masta, Kuwa makini isitoke na N'YA.Mayele yupo Yanga kwa mkopo, yanga haitofaidika na chochote kwenye hiyo B2