Yanga timu mbovu haiwezi kushinda bila timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Simba timu bora imeshinda bila nyekundu

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Nina mashaka na timu yangu ya utopolo a.k.a nyuma mwiko a.k.a kayoko fc kwanini hatuwezi kushinda bila kadi nyekundu?

Mbona wenzetu simba wanashinda bila kadi nyekundu? Hivi kweli tunaweza kumfunga MC Alger au Al Hilal? Au Al Ahly au Esperance? Mi namchukia sana injinia wa mchongo Hersi kwa kuwahonga magoli kipa na marefarii.

Soma Pia: Yanga SC 2 - 0 JKT Tanzania | NBC Premierleague | Azam Complex | 22.10.2024
 
Nyau fc mbona una hasra sana ? Hukumbuk ya coastal union,Dodoma jiji,AZAM hukumbuk magoli yote 2 yalkua off side?
 
Kolo usiye na aibu wala Soni, nyie hata Dabi haiwafai tena...tumechoka kuwakanda

kashindaneni na kina Prison🤣🤣🤣
 

Attachments

  • images (91).jpeg
    56.4 KB · Views: 5
kimataifa mechi na al hilal asipochezesha kayoko tutashinda kweli?
Acha ushamba wewe Kayoko ndiyo nani kwa Yanga? Yanga ni timu inayojiweza na ubora wake sasa kama wewe unahisi kama Yanga inabebwa endelea na akili zako za usiku wa manane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…