Kijana tafta kazi ufanye mambo mengine unajibebesha mzigo usio kua wakoClub ya yanga bingwa WA kupika takwimu tunaomba muweke mapato ya mechi ya Leo kabisa kabla mnyama hajatoka mwituni..
kwa macho zaidi ya watu 40000 jana waliingia uwanjani km wote waingie kwa 10000 kama ilivyowekwa kima cha chini basi ni milioni 400+Club ya yanga bingwa WA kupika takwimu tunaomba muweke mapato ya mechi ya Leo kabisa kabla mnyama hajatoka mwituni
Mana hamchelewi kusema Simba kajaza uwanja lakin tumempita kimapato.
Leo full house hamjaizungumzia kabisa.
Na mwaka huu litimu lenu halina mvuto hata robo ndio maana mkamleta S kide kuwaburudisha coz mshaona huu mwaka hamna chenu
Simba anangaza ubingwa ndani ya mechi Tano za kwanza.
Club ya yanga bingwa WA kupika takwimu tunaomba muweke mapato ya mechi ya Leo kabisa kabla mnyama hajatoka mwituni
Mana hamchelewi kusema Simba kajaza uwanja lakin tumempita kimapato.
Leo full house hamjaizungumzia kabisa.
Na mwaka huu litimu lenu halina mvuto hata robo ndio maana mkamleta S kide kuwaburudisha coz mshaona huu mwaka hamna chenu
Simba anangaza ubingwa ndani ya mechi Tano za kwanza.
kwa macho zaidi ya watu 40000 jana waliingia uwanjani km wote waingie kwa 10000 kama ilivyowekwa kima cha chini basi ni milioni 400+
simba kwa hakika hawawezi kuja na kima cha chini 10000,kwasababu mtani hakupata full house kwa kiingilio hicho lazma watakuja na kima cha chini 5000 ambayo tukichukulia full house wote waingie kwa pesa hiyo means watapa milioni 300+
Ulikua unawahesabu wewe bibi? eti kazi binafisi wewe sema ulienda kuangalia mechi nani ya nini kujifichaMimi nilikuwa uwanjani pale, kwa kazi zangu binafsi! Watu zaidi 15000 waliingia bure!
Walifungulia dog mageti yote baada ya kuona tiketi hazinunuliwi, na ndani majukwaa ni meupe, kuna muda waligawa tiketi za bure lakini waap!!
Hawawezi kuwa walipata hiyo million 400+
Ukisema 250m naweza kukubaliana na wewe!!
Ulikua unawahesabu wewe bibi? eti kazi binafisi wewe sema ulienda kuangalia mechi nani ya nini kujificha
Akija mle kabisa utampaje bia bureSasa unanibishia mimi? Mimi kama ni kwenda kuangalia mechi siwezi jificha dogo!
Me huwa nina shughuli zangu binafsi nafanyia maeneo hayo, hata leo muda si mrefu nitakuwa pale!
Ukitaka kuamini unaweza njoo mida kuanzia saa9 leo hadi saa moja jioni, nitafute! Nitaenda kukununulia bia pale Gwambina lounge ama popote utakapochagua na nauli ya kurudi kwenu nitakupa dogo!!
Kwani wakipata pesa kidogo wewe unapata hasara ipi upande wako? Tujikite kwenye vitu productive zaidi kuliko visivyo na mzingi wowoteMimi nilikuwa uwanjani pale, kwa kazi zangu binafsi! Watu zaidi 15000 waliingia bure!
Walifungulia dog mageti yote baada ya kuona tiketi hazinunuliwi, na ndani majukwaa ni meupe, kuna muda waligawa tiketi za bure lakini waap!!
Hawawezi kuwa walipata hiyo million 400+
Ukisema 250m naweza kukubaliana na wewe!!
Akija mle kabisa utampaje bia bure
Kwani wakipata pesa kidogo wewe unapata hasara ipi upande wako? Tujikite kwenye vitu productive zaidi kuliko visivyo na mzingi wowote
Endelea kununuliwa bia, kwa hio uliacha kazi zako ukaenda kuangalia watu wanaingia bure mageti yote ukazunguka ukawa unaehesabu wanao ingia bure mpka 1500Sasa unanibishia mimi? Mimi kama ni kwenda kuangalia mechi siwezi jificha dogo!
Me huwa nina shughuli zangu binafsi nafanyia maeneo hayo, hata leo muda si mrefu nitakuwa pale!
Ukitaka kuamini unaweza njoo mida kuanzia saa9 leo hadi saa moja jioni, nitafute! Nitaenda kukununulia bia pale Gwambina lounge ama popote utakapochagua na nauli ya kurudi kwenu nitakupa dogo!!
Sababu wewe unaliwa basi unajua wote ni kama weweAkija mle kabisa utampaje bia bure
maandishi yako yana sadifu Una maisha magumu sanaWewe unaona hamna shida siyo?
Kuona ni sawa mashabiki kuingia nusu huo ni uzwazwa na upumbavu!
Kama hamna hasara ni kwa nini waligawa tiketi za bure na baadae kufungulia watu wakaingia kama mbwa?
Inapaswa viongozi waelewe matamasha kama hayo si sehemu ya kujiingizia kipato kikubwa bali iwe sehemu ya kuwakutanisha mashabiki nakupata burudani, mlidhani kwa hicho kiingilio cha chini cha 10k hata wasipofika nusu mtatengeza pesa ndefu, matokeo yake hata hiyo nusu ya walionunua tiketi hawakutimia!
Ikawa fungulia dog, huo ni uzwazwa!
View attachment 2696961
Endelea kununuliwa bia, kwa hio uliacha kazi zako ukaenda kuangalia watu wanaingia bure mageti yote ukazunguka ukawa unaehesabu wanao ingia bure mpka 1500
maandishi yako yana sadifu Una maisha magumu sana
Nyie wavulana unadhani kila mtu anaishi Dar sisi wengine tupo maporini ili dada zenu waishi vizuriOkey…!! Good nimekualika njoo ushuhudie sasa hayo maisha magumu niliyo nayo!!!
Location nimekupa, unakwepa nini?
Mtu mwenye kazi hawezi acha kazi yake akahangaike na watu wewe njoo huku Congo tupambane upate buku buku huo umbea uta achaMimi siyo wa kununulia bia dogo!
Nimekupa mchongo ukuje hapa mitaa ya uwanja wa Mkapa nitakupa bia tani yako ama kilaji kingine chochote hadi utakapotosheka na nauli ya kurudi kwenu nitakupa!
Kuhusu kuacha kazi zangu haikuhusu, hilo ni suala langu binafsi!
Hiyo idadi uliyotaja mbona si ile niliyosema dogo?
Mimi nimesema 15000 na si 1500.