Yanga toeni mapato yenu kabisa hadharani

Nyie wavulana unadhani kila mtu anaishi Dar sisi wengine tupo maporini ili dada zenu waishi vizuri

Hizo za kusema “wavulana” ni njia dhaifu za kujihami!!
Kumbe unaandika hapa kwa kutumia “akili” za kipori pori, ndio maana naona umezubaa zubaa sana!
Pole mkuu…!!!
Siku ukitoka huko porini basi nitafute nikutoe ushamba nikupeleke mjini!!
 
Mtu mwenye kazi hawezi acha kazi yake akahangaike na watu wewe njoo huku Congo tupambane upate buku buku huo umbea uta acha

Mimi hizo buku buku si size yangu, dogo!
Nilishatoka huko kitambo sana, umesema sijui nina shida sijui maisha magumu, nimekuambia tuonane unakwepa kijanja eti upo Congo!!!
Wewe fanya mchakato hata ukitoka huko uliko nicheki ulete mrejesho hapa jukwaani kati ya mimi na wewe ni nani wakumpa mwingine ujanja wa kupata pesa!
Ikibidi tunaweka na shahidi kabisa yeye aje atoe ushuhuda hapa!!
 
Lengo la Simba kwenye siku yake ni kujaza watu si kwa lengo la mapato Bali kwa lengo la kuhakikisha wapenzi wake wanajaa kuja kuburudika ...Yanga mlikuwa mnafanya siku yenu kwa lengo la kuchangisha pesi ili mlipo viporo vya pesa za usajili...
 
Yuko congo ya kariakoo mshamba sna huyo mtoto
 
Umemaliza Kama ajaelewa atakuwa na mtindio wa ubongo
 
Wanaotoa takwimi ni N CARD na sio mambo ya kubashiri kama mganga wa kienyeji, wasubilie wao watasema yanga kaingiza shingapi ndio utoe conclusion!
 
Acha nikae na akili zangu za porini kuliko kwenda kuangalia watu wanaingia bure uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…