nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
AuMwaka wa nne huu bado mnajenga timu au mnatangaza biashara
Manara anatuharibia timu anatujaza ujinga,mara jezi mara ndege watu tunataka matokeo uwanjani
Kwanza kabisa Msola na Eng. Hersi wakae pembeni timu iongozwe na watu wenye maono ya mbali. Tutafanikiwa ila kama ndio hawa hawa viongozi basi tutaendelea kuwa wakusindikiza
Kujenga timu si kitu cha mchezo na tena ukiangalia huko nyuma ukata uliopitiliza,ukiangalia kiundani mwaka wa pili huu ndio Yanga wanatengeneza timu serious baada ya gsm kuweka pesa ya maana,huko nyuma ilikua tunasajili wachezaji wa kuunga ungaMwaka wa nne huu bado mnajenga timu au mnatangaza biashara
Nilijua mechi ya leo itawaonesha ubovu ubovu uko wapi, lakini bado mnajipa moyo eti timu nzuri.Dar es salaam young African, tuna timu nzuri ila tutulie tujenge timu na tuache kusajili Kila msimu
Tuwaachie wachezaji wetu waungane vizuri tuchukue kombe la ligi kuu Ili mwakani twende kimataifa bila mbeleko
Kurudi tena kimataifa ni mpaka Simba tuamue,tusipoamua amrudi.Muhimu tusisikie mchezaji kuuzwa, au kusitishiwa mkataba bila sababu za msingi. Mwalimu aendelee kuijenga timu.
Naamini tuna uwezo wa kuchukua ubingwa wa ligi kuu msimu huu, halafu mwakani tunarudi tena Kimataifa.
Bado hawana chemistry mzungu pori bhanaKutokana wacheji wapya kutokuwa pamoja na kuzoeana,matokeo haya yasitutishe wala kutukatisha tamaa,tunawachezaji wazuri wakikaa pamoja kwa muda mrefu tutakuwa na timu bora kabisa.
Wale wenzetu wa porini wamekula biliani lenye nzi. Wametest mitambo butu, wasubiri vichapo tu mwaka huu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mkumbuke kocha alishapewa mechi mbili moja kashapotezaMuhimu tusisikie mchezaji kuuzwa, au kusitishiwa mkataba bila sababu za msingi. Mwalimu aendelee kuijenga timu.
Naamini tuna uwezo wa kuchukua ubingwa wa ligi kuu msimu huu, halafu mwakani tunarudi tena Kimataifa.
Kila mtu ana mtizamo wake, usitake tufananeNilijua mechi ya leo itawaonesha ubovu ubovu uko wapi, lakini bado mnajipa moyo eti timu nzuri.
Nashindwa kuelea sijui kwasababu mechi imechezeka kizani hivyo hamjapata wasaa wa kuona ubovu au ni kwasababu simba nayo imefungwa hivyo kuchukulia kirahisi matokeo mliyo pata?