nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Kutokana wacheji wapya kutokuwa pamoja na kuzoeana,matokeo haya yasitutishe wala kutukatisha tamaa,tunawachezaji wazuri wakikaa pamoja kwa muda mrefu tutakuwa na timu bora kabisa.
Wale wenzetu wa porini wamekula biliani lenye nzi. Wametest mitambo butu, wasubiri vichapo tu mwaka huu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Wale wenzetu wa porini wamekula biliani lenye nzi. Wametest mitambo butu, wasubiri vichapo tu mwaka huu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app