Yanga tuache pressure, turudi tujenge timu

Yanga tuache pressure, turudi tujenge timu

Muhimu tusisikie mchezaji kuuzwa, au kusitishiwa mkataba bila sababu za msingi. Mwalimu aendelee kuijenga timu.

Naamini tuna uwezo wa kuchukua ubingwa wa ligi kuu msimu huu, halafu mwakani tunarudi tena Kimataifa.
Hats nchimbi
 
Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.

Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.

Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.

Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.
Wewe tulia, Yanga tuna kikosi bora sana msimu huu. GSM wamefanya usajili mzuri, shida kubwa timu haikuwa na pre season nzuri na hivyo chemistry ya timu haijapatikana bado. pia kumbuka kuna wachezaji kama 3 ambao hatukuweza kuwatumia. Wasiwasi wangu kwa Yanga kwa sasa ni kocha na si wachezaji.
 
Yanga mna jitanabaisha kuwa ni mabingwa wa kihistoria.
Sasa wakati huu mnatafuta nini ?

Nyie si mabingwa wa zamani na mmeridhika hivyo..!

Au ndo Manara kawaambia mreturn ?

The return of formal champions ?
 
Manara anatuharibia timu anatujaza ujinga,mara jezi mara ndege watu tunataka matokeo uwanjani
Manara yeye anajali tumbo lake tu
FB_IMG_1631647099990.jpg
IMG-20210912-WA0007.jpg
FB_IMG_1631703635413.jpg
 
Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.

Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.

Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.

Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.
Unawalaumu bureee Viongozi wenu,wao wamewekeza Saba kwenye iDaRa ya Propaganda dhidi ya [emoji881][emoji881][emoji881][emoji881],na siyo kwenye soka.
 
Wewe tulia, Yanga tuna kikosi bora sana msimu huu. GSM wamefanya usajili mzuri, shida kubwa timu haikuwa na pre season nzuri na hivyo chemistry ya timu haijapatikana bado. pia kumbuka kuna wachezaji kama 3 ambao hatukuweza kuwatumia. Wasiwasi wangu kwa Yanga kwa sasa ni kocha na si wachezaji.
Ubora wa kikosi hudhihirika kwa matokeo uwanjani ndugu na sio maneno na visingizio kibao. Mi nakwambia ukweli kabisa hao Rivers United hawakuwa saizi ya Yanga kabisa ambayo ipo kwenye ubora wake. Hao tulikuwa tunauwa kabisa kwa bao nyingi sana ila shauri ya huu ujinga ujinga tumekuwa vibonde na sisi mashabiki badala tuseme kweli tunakubaliana na propaganda tunazoaminishwa.
 
Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.

Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.

Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.

Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.
Wewe ni mikia,
Kunatofauti gani ya wachezaji was simba na yanga?
Umekaa kishabiki

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Ubora wa kikosi hudhihirika kwa matokeo uwanjani ndugu na sio maneno na visingizio kibao. Mi nakwambia ukweli kabisa hao Rivers United hawakuwa saizi ya Yanga kabisa ambayo ipo kwenye ubora wake. Hao tulikuwa tunauwa kabisa kwa bao nyingi sana ila shauri ya huu ujinga ujinga tumekuwa vibonde na sisi mashabiki badala tuseme kweli tunakubaliana na propaganda tunazoaminishwa.
Unaongea kipumbavu sana.
Timu ikifanya usajiri mpya ili timu ifanye vizuri wachezaji lazima wakae pamoja muda mrefu,waweze kujuana kiuchezaji.

Ubora wa simba unatokana na hilo, siyo kwamba mna wachezaji wazuri kuliko yanga au azam.

Nataka nikuambie Wewe mikia, wacheji walikuwa bora kuliko wengine ni wale walioondoka,chama na miquison. Waliobaki ni wa kawaida tu ila wamezoeana kiuchezaji

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hats nchimbi
Dah! Nchimbi ni mchezaji bora kwa timu ndogo kama Mbeya City, Njombe Mji, Mwadui, na Polisi Tanzania. Ukimpeleka Azam au Yanga, anaishia tu kupuyanga uwanjani.

Binafsi ameniangusha sana. Maana mimi ni mmoja wa mashabiki wake wachache.
 
Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.

Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.

Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.

Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.
Nina imani na Yanga ya mwaka huu. Naomba ibakie hivyo.
 
Back
Top Bottom