nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
- Thread starter
- #21
Simba is football university in TanzaniaThe return of champions! [emoji1787]
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba is football university in TanzaniaThe return of champions! [emoji1787]
Hats nchimbiMuhimu tusisikie mchezaji kuuzwa, au kusitishiwa mkataba bila sababu za msingi. Mwalimu aendelee kuijenga timu.
Naamini tuna uwezo wa kuchukua ubingwa wa ligi kuu msimu huu, halafu mwakani tunarudi tena Kimataifa.
Wewe tulia, Yanga tuna kikosi bora sana msimu huu. GSM wamefanya usajili mzuri, shida kubwa timu haikuwa na pre season nzuri na hivyo chemistry ya timu haijapatikana bado. pia kumbuka kuna wachezaji kama 3 ambao hatukuweza kuwatumia. Wasiwasi wangu kwa Yanga kwa sasa ni kocha na si wachezaji.Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.
Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.
Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.
Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.
Kwa timu IPI,?Kurudi tena kimataifa ni mpaka Simba tuamue,tusipoamua amrudi.
Ombeni msamaha tuwabebe tena mwakani.
Manara yeye anajali tumbo lake tuManara anatuharibia timu anatujaza ujinga,mara jezi mara ndege watu tunataka matokeo uwanjani
Unawalaumu bureee Viongozi wenu,wao wamewekeza Saba kwenye iDaRa ya Propaganda dhidi ya [emoji881][emoji881][emoji881][emoji881],na siyo kwenye soka.Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.
Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.
Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.
Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.
Ubora wa kikosi hudhihirika kwa matokeo uwanjani ndugu na sio maneno na visingizio kibao. Mi nakwambia ukweli kabisa hao Rivers United hawakuwa saizi ya Yanga kabisa ambayo ipo kwenye ubora wake. Hao tulikuwa tunauwa kabisa kwa bao nyingi sana ila shauri ya huu ujinga ujinga tumekuwa vibonde na sisi mashabiki badala tuseme kweli tunakubaliana na propaganda tunazoaminishwa.Wewe tulia, Yanga tuna kikosi bora sana msimu huu. GSM wamefanya usajili mzuri, shida kubwa timu haikuwa na pre season nzuri na hivyo chemistry ya timu haijapatikana bado. pia kumbuka kuna wachezaji kama 3 ambao hatukuweza kuwatumia. Wasiwasi wangu kwa Yanga kwa sasa ni kocha na si wachezaji.
Hamna cha chemistry pale. Hamna wachezaji paleBado hawana chemistry mzungu pori bhana
Wewe ni mikia,Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.
Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.
Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.
Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.
Unaongea kipumbavu sana.Ubora wa kikosi hudhihirika kwa matokeo uwanjani ndugu na sio maneno na visingizio kibao. Mi nakwambia ukweli kabisa hao Rivers United hawakuwa saizi ya Yanga kabisa ambayo ipo kwenye ubora wake. Hao tulikuwa tunauwa kabisa kwa bao nyingi sana ila shauri ya huu ujinga ujinga tumekuwa vibonde na sisi mashabiki badala tuseme kweli tunakubaliana na propaganda tunazoaminishwa.
Dah! Nchimbi ni mchezaji bora kwa timu ndogo kama Mbeya City, Njombe Mji, Mwadui, na Polisi Tanzania. Ukimpeleka Azam au Yanga, anaishia tu kupuyanga uwanjani.Hats nchimbi
Nina imani na Yanga ya mwaka huu. Naomba ibakie hivyo.Tuacheni masihala ndugu zangu wanajangwani hatuna timu ya kucheka michuano ya nje labda kwenye ligi yetu humu ndani na bado tunapambania nafasi ya pili na ya tatu tu.
Huwa naumia sana kujipa moyo wakati tunauona kabisa ukweli. Hii timu haiwezi kuleta changamoto kimataifa hata mbele ya Simba tu mi nawaambia ukweli.
Tutaendelea kuwa watu wa kulia lia tu mara sijui Tff mara marefa mara sijui wananunua mechi n.k ila vyote hivyo visingizio tu. Hatuna kikosi cha uhakika kushindana ukizingatia kabisa tulijua tunaingia kombe la CAF tena tunaazia hatua za awali kabisa ambazo ni ngumu kweli kweli lakini watu hawako serious na kazi wanaleta uswahili swahili tu. Badala tuwekeze kusajili wachezaji wa maana mnaleta masihara hao wazee mnategemea kutengeneza kikosi nao? Acheni masihara mie nimekataa kujifariji kiboya namna hiyo tumechoka tunataka timu yenye kurudisha heshima ya Yanga na sio huu usanii.
Viongozi wa Yanga niwakumbushe tu kitu, Yanga sio chama cha siasa hiyo ni klabu ya michezo hasa mpira wa miguu ambao unatakiwa kupata matokeo mazuri na ubingwa yaani kifupi tunataka vikombe jangwani.