Yanga tufanye maandamano nchi nzima kusherekea kufuzu Makundi ya mabingwa

Yanga tufanye maandamano nchi nzima kusherekea kufuzu Makundi ya mabingwa

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wanayanga inabidi tufanye maandamano makubwa ya kitaifa kusherehekea hatua kubwa ya timu yetu kufuzu hatua ya makundi kwenye mashindano makubwa zaidi kwa vilabu barani Afrika, CAF Champions League

Hii ni michuano adhimu ambayo club chache tu barani Afrika ndio zinapata nafasi ya kushiriki, hakika haikuwa rahisi


Nakumbuka tulivyosota kwa miaka 25 kufikia hatua hii, jana nilitokwa na machozi ya furaha kwa club yangu ya Yanga kufikia hii milestone
 
Wanayanga inabidi tufanye maandamano makubwa ya kitaifa kusherehekea hatua kubwa ya timu yetu kufuzu hatua ya makundi kwenye mashindano makubwa zaidi kwa vilabu barani Afrika, CAF Champions League

Hii ni michuano adhimu ambayo club chache tu barani Afrika ndio zinapata nafasi ya kushiriki, hakika haikuwa rahisi


Nakumbuka tulivyosota kwa miaka 25 kufikia hatua hii, jana nilitokwa na machozi ya furaha kwa club yangu ya Yanga kufikia hii milestone
Tujipange na mikakati .....tuvuke makundi sasa....kweli tumefurahi sana .....
 
Na Mimi NASHAURI hivyo.

Yanga WAFANYE Parade mji mzima.

Mzinze hajazaliwa, yanga HAWAJUI makundi.
 
Wanayanga inabidi tufanye maandamano makubwa ya kitaifa kusherehekea hatua kubwa ya timu yetu kufuzu hatua ya makundi kwenye mashindano makubwa zaidi kwa vilabu barani Afrika, CAF Champions League

Hii ni michuano adhimu ambayo club chache tu barani Afrika ndio zinapata nafasi ya kushiriki, hakika haikuwa rahisi


Nakumbuka tulivyosota kwa miaka 25 kufikia hatua hii, jana nilitokwa na machozi ya furaha kwa club yangu ya Yanga kufikia hii milestone
Kweli maandamano ni lazima,fikiria Mapumziko ya mwezi huu octoba 14 ya NYERERE DAY kumkumbuka Baba wa Taifa yalikuwa hayajaanza ndo Yanga tulicheza Makundi ya CAF Champions league Kwa mara ya mwisho
 
Wanayanga inabidi tufanye maandamano makubwa ya kitaifa kusherehekea hatua kubwa ya timu yetu kufuzu hatua ya makundi kwenye mashindano makubwa zaidi kwa vilabu barani Afrika, CAF Champions League

Hii ni michuano adhimu ambayo club chache tu barani Afrika ndio zinapata nafasi ya kushiriki, hakika haikuwa rahisi


Nakumbuka tulivyosota kwa miaka 25 kufikia hatua hii, jana nilitokwa na machozi ya furaha kwa club yangu ya Yanga kufikia hii milestone
yanga hakuna mjinga wa hivyo
 
Back
Top Bottom