Yanga tujihadhari sana

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
Mimi ni yanga lakini kwa kweli ni lazima tukubali kuwa Simba timu yao ni bora kuliko yetu. Sasa kocha, Wachezaji na viongozi wetu wajihadhari sana na waijenge timu kushambulia kwa options mbalimbali vinginevyo ubingwa hatutaupata.
 
Mimi ni yanga,lakini kwa kweli ni lazima tukubali kuwa simba timu yao ni bora kuliko yetu,sasa kocha,wachezaji na viongozi wetu wajihadhari sana,na waijenge timu kushambulia kwa options mbalimbali,vinginevyo ubingwa hatutaupata
Kadi yako ya uanachama huko mikia ni namba ngapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…