Yanga tuko vizuri

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
227
Reaction score
382
Leo tena timu ya wananchi wanaibuka na ushindi wa saba katika VPL hapo kanda maalumu kwa kina Matiku,Marwa,Mwita,Mwikwabe na sasa tunabanana hapo kileleni na wale wauza ice cream wa Chamazi,mambo ni moto mikia mwaka huu tafuteni kombe la mbuzi,hahahahahahahahaha,kama nawaona vile
 
Hao Mbumbumbu fc waanze mapema kutupikia biriani ili itakapofika hiyo tarehe 7 Novemba, tujilie zetu kwa kujinafasi.

Ila yule Waziri Junior ana vigezo vya kumuweka Yacube benchi kweli! Au kwa sababu ya lile goli la kubahatisha uwanja wa Kirumba dhidi ya KMC!!!
 
Rotation ya kikosi maybe.
 
Matumaini hewa,hakuna timu pale bali ni mkusanyiko wa watu wanaocheza mchezo unaofanana na kandanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…