Mwiko ukiwa nyuma daima unakua ushatengeneza njia πππ vioja kama hivi ndio napenda mtu kajimwaga tabia hadharaniMwanaume unaandika kuwa UMELALWA? ushazoea nini kulalwa? Hata hivyo ni kawaida sana kwa Mashabiki wa utopolo kulalwa mara kwa mara..
Bila kumtaja mnyama zinakuwa bado zinatekenya? Kweli hakuna mpira wa bongo bila Simba SC
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Una uhakika hao wachezaji wote wamesajiliwa ili wacheze ligi kuu?Excuses kuwa wachezaji fulani Hawapo ndio maana tumelalwa ni excuses ya kitoto, wachezaji wote wa Yanga tumesajili kwa uwezo wao na wanakula mshahara kila mwezi.
Tatizo lenu ni mihemko mkiulizwa semeni kocha amefeli kwenye lipi hamtoi majibu. Mimi napenda kujadiliana na wanaojua mpira na wanaoweza kujibu hoja sio porojo kama zenu. Sasa kwanini swali dogo hilo mnashindwa kujibu kama kweli mpira mnaujua?Wewe shida ni bogus , zero brain
You want to be taught kama mtoto
Yeyoye mwenye akili kuna namna kocha anatembelea uwezo binafsi wa players na sio mbinu
SSC tuliifunga not because we were better, it is because SSC was a dead body being walking on earth
We therefore took advantage
Hana mbinu, kazi kusema nilikuwa najaribu wachezaji
Ni mambo ya objective football
Tatizo lenu ni mihemko mkiulizwa semeni kocha amefeli kwenye lipi hamtoi majibu. Mimi napenda kujadiliana na wanaojua mpira na wanaoweza kujibu hoja sio porojo kama zenu. Sasa kwanini swali dogo hilo mnashindwa kujibu kama kweli mpira mnaujua?
Twende kwa huyo Nabi, je hakuwahi kutolewa kwenye hii Mapinduzi?
Gamondi kwanini mnalazimisha aonekane mbaya kisa Mapinduzi kwanini hutaki kuangalia stats za ligi na klabu bingwa? Bogus ni wewe na wenzio mnaolalwa
Kabisa
Kwasababu sijaona kosa la kocha ni lipi, sasa nyie mnaosema kocha kafeli kwenye mbinu ndio muweke nondo za kiuchambuzi, alifanya kipi badala ya kufanya kipi. Lakini tokea thread ianze mpaka hapa hakuna yeyote aliyeongea mpira katika angle ya utaalamu, zaidi ya majungu na umbea na wengine wanaonesha wanaasili wa ushoga wazi wazi na kukiri kuwa kalalwa.Kwanini unadhan hapaswi kulaumiwa?
Kitu pekeee nina chojua ni kuwa huu mpira wa mchaka mchaka uliopigwa leo SSC hawezi kukimbizana hivi. Hawana pumzi na ndjo maana tuliwalala tano.
Tumepambana sana lakini vimo vyetu pia vilikuwa ni tatizo. SSC angekula nyingi leo na hawa APR.
Excuses kuwa wachezaji fulani Hawapo ndio maana tumelalwa ni excuses ya kitoto, wachezaji wote wa Yanga tumesajili kwa uwezo wao na wanakula mshahara kila mwezi.
Wakati Yanga tunalalwa na ihefu, hao wachezaji hawakuwemo? Wakati tunakula tatu bila pale Algiers, hawakuwepo?
Tuache utoto na tuangalie kwa mapana, hata SSC hatotoboa Kesho.
Tusiwe kama mzee wa Objective alisema alikula tano kwa sababu kibu denga kaumia.
Hawa APR wangekuwa makini leo tungekula khamsa kwa moja. Vijana ni mapafu ya mbwa.
Marefa pia walikuwa upande wetu Ila hatujabebeka. Dakika 9 pia ilikuwa ni inside job but riziki haikuwa yetu.
Nina mashaka na ubora wa kocha.
Niweke wazi. Inawezekana hii yanga huwa inashinda kwa uwezo binafsi wa players but sio kwa mbinu za kocha. Tuchunguze hilo.
SSC tuliilala 5 sio kwa sababu sisi tulikuwa bora, ni kwasababu SSC ilikuwa ni mzoga upo upo unaosubiri kuoza.
Tuliangalie la kocha
Kwasababu sijaona kosa la kocha ni lipi, sasa nyie mnaosema kocha kafeli kwenye mbinu ndio muweke nondo za kiuchambuzi, alifanya kipi badala ya kufanya kipi. Lakini tokea thread ianze mpaka hapa hakuna yeyote aliyeongea mpira katika angle ya utaalamu, zaidi ya majungu na umbea na wengine wanaonesha wanaasili wa ushoga wazi wazi na kukiri kuwa kalalwa.
Duuh hapo.juzi hahahhaUlikuwa hata Umezaliwa