Masufuria ya shughuli katika ubora wenu,Sijawahi ona warabu wachovu kama wale! Ila Bashite alimuonea sana Manji!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha awakopeshe anaikopesha kampuni wakishindwa kumlipa anaongeza Shea sasa Yanga uweke pesa atakulipa naniMo anawadai Mikia 6 billions pembeni ya alizowekeza 20 billions..unafikiri wachezaji wanasajiliwa na nani?
KWELI KABISA,NITASHANGAA SANA MWANA YANGA ANAYEJIELEWA AKAMTII HUYU ZERO BRAIN HATA BABA YAKE KAHUSIKA PIA.Ama mbinu za kummaliza Adui yako si kwenye vita pekee;hata Yanga Makonda alituua na kutumaliza kabisa hasa baada ya Mhe Diwani wa Mbagala na Jembe la Yanga (Manji)kubambikiwa kesi za hovyo kabisa kisa ni maendeleo ya Yanga!
Katika siku nimeumia ni leo!Huu ushindi wa Siasa ya mpira kwa hao Waarabu wepesi sisi tungejichukulia Jimbo kwa hata goli 10!
Lakini bwana kwa sababu alizozijua yeye Makonda aliamua kutuonea na kumuumiza ndg yetu na kutuharibia kabisa chama kubwa Y!
Anyway, ya Mungu mengi.Ipo siku sisi pia atatuhurumia na kuturejeshea Jimbo letu.
Viva Yanga!
Ndugu Zangu Mjifunze KuchaguaMm yanga ila hz tabia za kulalamika kila cku sizipendi ata kidogo. Tuseme makonda alimbambakizia kesi manji vp MO aliyetekwa siku tisa? Emu tutafte ustaharabu mwingine tujenge timu yetu wenyewe sio kila siku kulialia.
Kilevi chochote kile unachotumia kwa sasa acha kimeharibu akili yako na uwezo wako wa kufikiria.Write your reply...ktk siku moyo wangu umefurahi bc leo zaidi' ni kweli kbs yanga bila kuharibiwa hii ya club bingwa ilikiwa tuwe cc yanga na hata mabadiriko yanga ilikuwa ya kwanza kwa mpango wa manji kasi aliyokuja nayo' lkn hawa wenzetu leo wana tukejeli na kujiona wao ndio wa kwanza kufanya mabadiriko wkt ni chabo tu toka kwa yanga: hata baadhi ya wachezaji walikuwa wamepwentiwa na yanga leo wanafurahi kuona tunatembeza bakuri ikiwa chanzo ni wao" inauma sana aisee""
Wenzio wanakula kwanza kabla ya kuvuta, wee unavuta tu.Ama mbinu za kummaliza Adui yako si kwenye vita pekee;hata Yanga Makonda alituua na kutumaliza kabisa hasa baada ya Mhe Diwani wa Mbagala na Jembe la Yanga (Manji)kubambikiwa kesi za hovyo kabisa kisa ni maendeleo ya Yanga!
Katika siku nimeumia ni leo!Huu ushindi wa Siasa ya mpira kwa hao Waarabu wepesi sisi tungejichukulia Jimbo kwa hata goli 10!
Lakini bwana kwa sababu alizozijua yeye Makonda aliamua kutuonea na kumuumiza ndg yetu na kutuharibia kabisa chama kubwa Y!
Anyway, ya Mungu mengi.Ipo siku sisi pia atatuhurumia na kuturejeshea Jimbo letu.
Viva Yanga!