fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
ni kweliTusimwache pekee hii hatua ikiisha itayofuatia ni kujinyonga so tuwe na huruma nae.
tumsamehe mayeleni kweli
Hii tabia yao ya kumponda mtu baada ya kuondoka ndo ujini wenyewe,akiwa na Yanga mzuri,kaondoka eti alikuwa wa kawaida, ndo uchawi na ujini huoWacheni kurukaruka kama popcorn,ondoeni majini yenu.
Yaani unalinganisha Kagere na MayeleMnamponda baada ya kuondoka Yanga lakini Mayele ni striker haswa ambaye amesumbua kwenye ligi ya bongo hata kama ana magoli machache,aliwakuta Kagere kwenye prime yake lakini kagere akasahaulika
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli tuache roho mbaya. Mayele kafanya kazi kubwa Yanga, magoli 33 misimu miwili tena yaliyoipa ubingwa Yanga. Magoli sita hadi fainali ya shirikisho kwa nini tumbeze? Yule alikuwa mchezaji bora.Sisi mashabiki wa Yanga tulimvika Mayele ukubwa ambao hakustahiki
Tulimwimba mno lakini me nilimwona ni mchezaji wa kawaida sana
Kuna strikers walikuja Tanzania wakafanya makubwa lakini hawakuimbwa
Tujikumbushe Tambwe, Kagere, Ngoma nk ambao kwa vipaji vyao Mayele asingeona ndani.
Walikuja wakakiwasha muda ukaisha na tukawasahau.
Yaani Mayele amekuwa top scorer ana mabao 13 wakati akina Kagere na Tambe walitupia 20+ wako kimya huyo mkongo ameanza taarabu.
Ameenda Egypt huko hatukuzwi inatakiwa apambane hawezi anakumbuka uku akiwafunga Mbeya City anatetema kama generator bovu anashangaliwa, sasa huko kuna mashabiki serious wanampuuza.
Wanayanga tumpuuze huyo jamaa ni mchezaji wa kawaida na huko Egypt anatoka tutamsikia yupo Tabora United
Sent using Jamii Forums mobile app
Magoli 33 msimu miwili mashindano yoteSio kweli tuache roho mbaya. Mayele kafanya kazi kubwa Yanga, magoli 33 misimu miwili tena yaliyoipa ubingwa Yanga. Magoli sita hadi fainali ya shirikisho kwa nini tumbeze? Yule alikuwa mchezaji bora.
Sio mashindano yote na wewe hufatilii Mpira. Hiyo ni ligi kuu pekeee, ukiondoa mashindano mengine.Magoli 33 msimu miwili mashindano yote
Ni mchezaji wa kawaida mno
Sasa tutamwona uko Egypt
Sent using Jamii Forums mobile app