Yanga tuliwaonya hamkusikia. Ona sasa, eti Makomandoo

Yanga tuliwaonya hamkusikia. Ona sasa, eti Makomandoo

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Wakati sisi tunahangaika kuachana na uswahili nyie ndiyo kwanza mpo busy kumpamba Mzee Kilomoni, haya sasa kazi kwenu na makomnadoo wenu mara wengine wanajipigia debe Ukatibu Mkuu na Usemaji, bado yule jamaa aliyekuwa TFF ambaye siku hizi ni kiongozi wenu hajaanza kuzipiga vizuri maana sijasahau utapeli wa ile nyumba aliyomuuzia mtu Milion 30, natudia tena kazi kwenu

Imeelezwa kuwa kundi la Task Force lililokuwa linahusika na kulinda timu ya Yanga katika michezo mbalimbali limeandika barua ya kuvunja na kujiondoa rasmi katika shughuli hiyo sababu ikielezwa kukosa ushirikiano na uongozi uliopo.

Taarifa imeeleza katika mchezo uliopita kati ya Yanga na Township inaelezwa walipewa kiasi cha shilingi millioni moja na laki saba ili kusimamia mchezo huo baadae wakaja kuambiwa hawatakiwi.

1565862413604.png


1565862238259.png
 
Inawezekana anayejua kusoma na kuandika katika hao 30 ni mmoja tu.Ndio maana "amewatilia" saini wenzake.
Migongo wazi mna kazi.Mnatafuta visingizio kwenye kila jambo.
 
wakati sisi tunahangaika kuachana na uswahili nyie ndiyo kwanza mpo busy kumpamba mzee kilomoni,haya sasa shuzi hilo limepata wajambaji,kazi kwenu na makomnadoo wenu mara wengine wanajipigia debe ukatibu mkuu na usemaji,bado yiule jamaa aliyekuwa TFF ambaye siku hizi ni kiongozi wenu hajaanza kuzipiga vizuri maana sijasahau utapeli wa ile nyumba aliyomuuzia mtu milion 30, natudia tena kazi kwenu


Imeelezwa kuwa kundi la Task Force lililokuwa linahusika na kulinda timu ya Yanga katika michezo mbalimbali limeandika barua ya kuvunja na kujiondoa rasmi katika shughuli hiyo sababu ikielezwa kukosa ushirikiano na uongozi uliopo.

Taarifa imeeleza katika mchezo uliopita kati ya Yanga na Township inaelezwa walipewa kiasi cha shilingi millioni moja na laki saba ili kusimamia mchezo huo baadae wakaja kuambiwa hawatakiwi.

View attachment 1181998

View attachment 1181983
Rage alikuwa sahihi kabisa
 
Hao task force ndio wale jamaa timu ikielemewa wana-freeze kabisa bonge flani hivi na wenzake?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mimi nilichoelewa hapo ni hizo shutuma za kiongozi wa Yanga kwa utapeli! Sasa kama tutaamua kuwakagua viongozi wa timu yako ya mbumbumbu fc, nina uhakika hakuna atakayepona!

Kuanzia Haji Manara (huyu ni kocha mkuu wa utapeli duniani! Ni kama Pep Guardiola vile), Hanz Popcon, Kaburi, Aveva, na wengineo wengi! Simba acheni kujitesa dhidi ya Yanga! Msubiri msimu uanze, watu wakinukishe.
 
Mimi nilichoelewa hapo ni hizo shutuma za kiongozi wa Yanga kwa utapeli! Sasa kama tutaamua kuwakagua viongozi wa timu yako ya mbumbumbu fc, nina uhakika hakuna atakayepona!

Kuanzia Haji Manara (huyu ni kocha mkuu wa utapeli duniani! Ni kama Pep Guardiola vile), Hanz Popcon, Kaburi, Aveva, na wengineo wengi! Simba acheni kujitesa dhidi ya Yanga! Msubiri msimu uanze, watu wakinukishe.
Pep Gaurdiola alitapeli nini mkuu, au ndo ile siasa za mpira wa bongo umezipeleka hadi ulaya
 
☝Sijamaanisha Pep na yeye ni tapeli! mniwie radhi mashabiki wa Liverpool na Barcelona. Nimemfananisha tu huyo jamaa kwenye hicho kitengo cha utapeli ya kwamba ni bora kama kocha anayeaminika kuwa bora duniani kuliko makocha wengine! ambaye ni huyo Pep!
 
Pep wa Liverpool!!!Kufuata mkumbo kwenye kupenda kuna matatizo yake.Anawaomba msamaha wapenzi wa Liverpool na Barcelona.
Klopp usijali hujatapeliwa!!!!!!
 
[emoji121]Sijamaanisha Pep na yeye ni tapeli! mniwie radhi mashabiki wa Liverpool na Barcelona. Nimemfananisha tu huyo jamaa kwenye hicho kitengo cha utapeli ya kwamba ni bora kama kocha anayeaminika kuwa bora duniani kuliko makocha wengine! ambaye ni huyo Pep!
We uache kuipenda timu kuliko kupenda mchezo wa mpira, Pep na Liverpool wapi na wapi?
 
😂😂😂😇😇 nimechapia aisee! Pep ni wa Man city! Tatizo mimi nipo Chelsea na Yanga! Sasa jana hao wapuuzi si walituotea kwenye penati! kwa hiyo bado akili haijakaa vizuri.
 
☝Sijamaanisha Pep na yeye ni tapeli! mniwie radhi mashabiki wa Liverpool na Barcelona. Nimemfananisha tu huyo jamaa kwenye hicho kitengo cha utapeli ya kwamba ni bora kama kocha anayeaminika kuwa bora duniani kuliko makocha wengine! ambaye ni huyo Pep!
Na kweli mkumbo kama kazi.Bado watu wanalumbana huku akili haijakaa sawa!!!!
 
Bila kuangalia mengine ila kitu kimoja nilichogundua hapa katika hiyo barua yao ya kuvunja kundi ni kuwa hizo saini zote zimesainiwa na mtu mmoja!

Sawa kabisa nakubaliana na wewe...saini ya mtu mmoja, hiyo ni forgery ... wanataka fedha zaidi?!! kwanini kama kweli wako kwa ajili ya ushindi na siyo maslahi wasichange wao kuisaidia klabu?
 
Wakati sisi tunahangaika kuachana na uswahili nyie ndiyo kwanza mpo busy kumpamba Mzee Kilomoni, haya sasa kazi kwenu na makomnadoo wenu mara wengine wanajipigia debe Ukatibu Mkuu na Usemaji, bado yule jamaa aliyekuwa TFF ambaye siku hizi ni kiongozi wenu hajaanza kuzipiga vizuri maana sijasahau utapeli wa ile nyumba aliyomuuzia mtu Milion 30, natudia tena kazi kwenu

Imeelezwa kuwa kundi la Task Force lililokuwa linahusika na kulinda timu ya Yanga katika michezo mbalimbali limeandika barua ya kuvunja na kujiondoa rasmi katika shughuli hiyo sababu ikielezwa kukosa ushirikiano na uongozi uliopo.

Taarifa imeeleza katika mchezo uliopita kati ya Yanga na Township inaelezwa walipewa kiasi cha shilingi millioni moja na laki saba ili kusimamia mchezo huo baadae wakaja kuambiwa hawatakiwi.

View attachment 1181998

View attachment 1181983
Watu buana.
 
Back
Top Bottom