ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
- Thread starter
- #41
Kwanza unapaswa kusifia unbeaten 49.na mwishowe pia ukubali uchovu umechangia mbali na hayo mapungufu mengineKwa hiyo mlicheza na wapishi ambao wamezoea kukaa kwenye moto muda wote mpaka madhara hayo yawe upande weu tu?
Wachezaji kuwa wazito mbona hata kwenye game yenu na Kagera walikuwa wazito vile vile na bado mlishinda?
Nyinyi mkiifunga timu pinzani hamjawahi kuitafutia sababu ya kijiografia kuwa imepoteza mchezo kwasbabu ya hali ya hewa, huwa mnahitimisha kuwa imekutana na timu kubwa na ndio maana imepoteza
Kongole zinaemda kwa Mayele, na Kocha kuwa hao ndio magwiji
Leo umepoteza wewe, sababu imekuwa joto?
Basi muwe mnaingia na feni uwanjani sasa ili kukwepa visingizio kama hivi
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app